
Picha za nusu utupu ambazo amezipiga mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo zinaonekana kumtesa kufuatia baadhi ya waumini wa kanisa analosali kumsema kuwa anakwenda kinyume na maadili. Picha…
NI BLOG INAYOJIUSISHA NA JAMII YOTE KWA UJUMLA
Picha za nusu utupu ambazo amezipiga mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo zinaonekana kumtesa kufuatia baadhi ya waumini wa kanisa analosali kumsema kuwa anakwenda kinyume na maadili. Picha…
JIUNGE NA PAGE YETU BOFYA HAPA UPATE MENGI …
MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi. Mama Mkubwa wa Mtoto huyo, Salome Kiegu(35) mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Iyunga Jijini Mbeya anasema Mtoto huyo akiwa na mam…
Emmanuel baada ya kupokea kichapo cha nguvu kutoka kwa wanachuo. Kijana anayejulikana kwa jina moja la Emmanuel (30), amejikuta akipokea kipigo ‘hevi’ baada ya kukamatwa akiiba katika Chuo cha Theofilo Kisanji ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilut…
He shared his new gold iPhone on his instagram page this morning, exclusively made for him.…
Daktari Feki Hospitali ya taifa ya Muhimbili imemkamata mtu mmoja anae sadikiwa kuwa daktari feki ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akitapeli wagonjwa wanaoenda kutibiwa katika hospitali hiyo ya taifa kwa namna mbalimbali Daktari huyo…
Msanii Ray C Staa Nguli wa muziki wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ambaye pia aliwahi kutumia madawa ya kulevya na kuacha amefungua asasi iitwayo Ray C Foundation iliyoanzishwa rasmi February 2014,ofisi ipo Jengo la Biashara C…
CHADEMA Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinaynga kimepata pigo kubwa baada ya madiwani wake wawili katika manispaa ya Shinyanga kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao kutokana na madai kuwa viongozi ngazi ya taifa wa …
MINONG’ONO na uvumi unaotambaa kwa kasi kuwa anajihusisha na taasisi ya wajenzi huru (Freemasons), unazidi kumtesa msanii wa filamu za Kibongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni’ kwa madai ya kwamba anajisikia vi…
Shebby D Blog kwa mara nyingine tena leo tupo na hawa hapa waliojitokeja kuomba marafiki wa kuchati nao pamoja na wachumba ikibidi waishi kama mke na mme. Hawa watu wako serios na ndo maana wamejitokeza hivyo usipuuzie nafasi ni yako. Natafuta rafik…
Yule mganga anayejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya yamemkuta mazito. Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kuwa jamaa huyo anahenyeshwa na polisi akiwa mahabu…
Raisi Yoweri Museveni. Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametoa matamshi makali dhidi ya Rais Barack Obama wa Marekani akimtaka akome kungilia masuala ya ndani ya Uganda. Matamshi hayo makali yamekuja baada ya Rais wa Marekani kutishia k…
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba dhidi ya vitendo vinavyoweza kuwavunjia heshima na kuwaambia Ukimwi upo na umekithiri. Makinda, ambaye hiki ni kipindi chake cha nane akiwa bungeni…
AMA kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa! Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (uka…
Mwili wa Bi Monica Elias ukiwa eneo la tukio mara baada ya jeshi la Polisi kupata taarifa na kufika eneo la tukio Ikiwa ni wiki moja tu baada ya mwanamke mmoja kuchinjwa na mme wake huko Wilayani Nzega mkoani Tabora kwa kile kilichodaiwa kunyiman…
Msanii wa Bongo Fleva Prince Dully Sykes kwa muda mrefu baada ya kuhamisha makazi yake kutoka kariakoo, alihamia pembeni ya mji wa Dar es salaam maeneo ya Tabata, hiyo ni baada ya kujenga mjengo wake pande hizo za Tabata,ambapo ali…
ILE skendo ya kukithiri kwa baadhi ya mastaa Bongo kujiuza imechukua sura mpya kufuatia msanii wa Bongo Movies, Isabella Francis ‘Vai wa Ukweli’ naye kunasa mtegoni, Ijumaa lina kisa kizima. Tukio hilo la aibu kwa tasnia ya sinema n…
Wote tumemsikia jana Prince Dully Sykes akiongelea kufungiwa kwa video yake ya kabinti special na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) . Kuna sababu kuu mbili zilizosababisha video hii kufungiwa na ya kwanza ni kitendo cha msanii Diam…
Watoto pacha, Elikana na Eliud waliokuwa wameungana wamerejea nchini jana wakitokea India walipokuwa kwa ajili ya kutenganishwa, tayari kwa kusherehekea kumbukumbu yao ya kutimiza mwaka mmoja leo. Waliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyer…
Naitwa James Chaula nahitaji marafiki wa kupeana mawazo ya kulijenga taifa jinsia za aina yote na awe na umri wa kuanzia miaka 18. awasiliane na mm kw no 0754 420800 au Email yangu jameschaula@gmail.com au facebook natumia jina hilo. Natafuta mchum…
SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA