0

corazon
Mwanadada Corazon Kwamboka ambaye kitaaluma ni mwanasheria, raia wa Kenya anaonekana kutingisha katika soko la umodo Afrika Mashariki huku baadhi ya warembo wenzake wakimpigia saluti.
corazon4
Mtandao mmoja wa mambo ya mitindo wa Kenya umeandika kuwa, siku chache baada ya Corazon kupiga picha zake za mapozi na kuziingiza mtandaoni, wengi wameonesha kumkubali huku kampuni kibao za mitindo ndani na nje ya Kenya zikitaka kufanya naye kazi.
corazon-kwamboka-11 corazon3 corazon2 
Mwanamitindo Corazon Kwamboka.
“Ni mrembo sana, ana umbo namba nane ambalo kila mwanaume atatamani kumuangalia, amekuwa kwenye midomo ya wengi Afrika Mashariki,” aliandika katika mtandao huo mwanamitindo wa Bongo, Hamisa Hassan ‘Hamisa Mabeto’ akionesha kumjua na kumkubali pia.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X