6
 
   Kutokana na maombi ya watu wengi kuomba wawe siku moja moja tuwe tunawawekea sms za kuombana msamaha, kutakiana siku njema, usiku mwema, na sms nzuri kwa wapenzi wao leo bila hiyana Shebby D blog tumewaletea hizi hapa. Mtumie umpendae....   


ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na liku2miwa vibaya halna maana wala thaman. neno hlo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. Nakupenda Xana Dia
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Salio la macho yako halitoshi kuendelea kuona kwa sasa tafadhali tandika kitanda na ulale,kwa maelezo zaidi subiri ucngizi ukolee uote ndoto nzuri. ucku mwema!
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Upendo ni tiba maradhi hukimbia. Salamu ni shiba biriani yazidiwa. Kukumbukana ni haiba nuru hutuangazia. Kwa furaha na mahaba sichok kusalimia. Usiku mwema
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

   "Mwenye   kumtangulia mwenziwe kumtolea  salam kwanza   husamehewa madhambi yake  pia  huandaliwa makaazi  mazuri peponi" jee  wewe huzitaki  zawadi hizo kutoka  kwa ALLAH?Kwa  leo umechelewa   nimewahi mimi  basi  na wewe wahi  kwa  wengine wahi upesi  upesi "ASSALAMU   ALAYKUM WARAHMA TULAH WABARAKATU"         
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
namshukuru ALLAH kwa kuamka salama ,ni jambo la kumshukuru nawe kwa kuona siku nyingine,sauti za tawala masikioni mwangu,na ni furaha yangu kusikia u hali gani
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
ni usiku tulivu wenye hali ya hewa saafi na usingizi  wa amani ukishika hatamu kuzisafirisha fikra za binadamu katika  ndoto! najua umechoka na pilikapilika za mchana ,jua na makelele na kila aina ya mwingiliano wa sauti ,ni wasaa mzuri sasa
wakupumzisha mwili na akili yako.amua kumsamehe aliyekuudhi mchana wa leo na pia kumbuka ulipokosea leo ili kesho
usirudie,lakini pia jipongeze kwa mafanikio ya mipango yako,fumba macho uikaribie nchi usiyoijua.g9t
                                       .      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu ili
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako mpenzi.nakupenda sana laazizi     
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia moyoni mwangu
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
lala ulale vyema na upoe moyo wako,lala ulale salama utulie roho yako,lala usingizi mwema upumzishe akili yako,akujalie
karima zitimie njozi  zako.usiku mwema
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi si pombe  lkn yanalewesha, wala si kidonda  lkn yanatonesha,wala si maradhi lkn yanaumiza, wala  si njaa lkn yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa unaempenda
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni maradhi=unifanye doct ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe maishani mwako na uwe asal moyoni mwangu
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimetuma ndege wangu auzunguke ''moyo'' wako kwa '' upendo ''  auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
rafiki mtamu ni kama mto,ukichoka unalala juu yake akihuzunika unadondosha chozi juu yake,ukifurahi unamkumbatia mungu akulnde na kukujibu haja zako daima.
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
warid jeusi kwa adui pink kwa rafiki maalum,njano kwa kila lakheri ,jeupe kwa amani jekundu kwa mapenzi  je?wewe utanipa lipi?
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 mapenz n utoto,deka ulie nitakubembeleza,mpz n zawad tabasamu nibusu niambie kias gan unanpenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako lmezunguka kuta wa moyo wangu.kamwe jna lako halwez kufutka.nakupenda sn
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 mapenz n utoto,deka ulie nitakubembeleza,mpz n zawad tabasamu nibusu niambie kias gan unanpenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako lmezunguka kuta wa moyo wangu.kamwe jna lako halwez kufutka.nakupenda sn
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 teke la kuku halimuumz mwanaye sawa na dhat ya mpz haiumz moyo wa ampendaye,2gombane ss hv 2patane bdaye,najua hakuna wacogombana ,kama wapo cku wakgombana wataachana.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharan nimeagzwa na manan yakurdhshayo nafsin n utamu wa yakin.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 nakupenda sana mpz wangu ,we ndo wa pekee mwnye kujua furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo krb nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu tabb ,we ndo wang wa manan.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo huhtaj uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato lako,nkpnd mpz
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 nash2miwa kwa kumpenda mcchana mmoja alyeutesa moyo wangu ,mahakama imenihukumu kfo kwa kunyongwa na kamba ya upendo kwa msamaha wa raisi mpz nmehukumiwa kuwa mwaminfu kwake nakumpenda sn pnd acpontenda.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenhukumu kufungwa kweny gereza la moyo wa mcchana huyo milele kwa kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja,asiye na mashauz ,mwny wng upendo,maneno matamu,mahaba ya dhat na mapenz moto moto.
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Dunia ime2lia jua lmezama ndege kwenye mit wame2lia ,wa2 wote wamelala lkn mm bdo namuomba mungu awa2me malaika kwenye ktanda chako wakulnde.g9t
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Mwanzo nldhan pnz,ni ki2 cha gharama kumbe cvyo pnz n k2 cha bure ,unatakiwa kujtoa mwl na roho.gharama yke n zaid ya kununua dunia na mateso yke n zaid  ya shetan moton  mpz naomb unpe pnz  2,furaha sn kuku2mia sms hii
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakika  huwa nakosa raha pindi tunapo kosana,naomba ufahamu kuwa malumbambano yetu ni furaha kwa wabaya wetu,nimekumiss ,naomba unipe nafasi nyingine nakuahidi sito umiza wako moyo
          •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni yangu,najcfu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na karaha za huu ulimwengu .nakupnd dr
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi ni lini utanipa nipate farijika mpenzi nimechoka na hadithi kila siku unazonipa ipo siku penzi utanipa, mwenzio nataabika na hamu iliyotukuka, nitafurahi ukinipa nipate liwazika, naomba uhakika kama kweli wikiendi utanipa, Nakupenda                                      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mahaba unayonipa hakika nafarijika, mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata, kiu yangu wajua kuikata, kuwa nawe hakika nimeukata kwani wajua kunipa bata! Luv u, mwaah
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi kweli haya ndiyo mapenzi ama naota njozi? Nimefanya kila naloweza kuliimarisha letu penzi lakini naishia kuambulia majonzi, nimekuwa mtu wa kububujikwa na machozi kwa sababu ya lako penzi, kama nimekukosea tafadhali niwie radhi mpenzi, nakupenda na amini wewe pekee ndiye uliyetimiza ndoto yangu ya mapenzi.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi tambua wewe ndiye sababu ya huu usingizi, najilaza kwa pozi nikiamini tutakutana kwenye njozi, njozi za kulienzi letu penzi, Nakupenda mpenzi, gn mwaaah…!!
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi ni kosa gani nilililokutendea ambalo sipaswi kusamehewa? Ni kweli nilikosea nahitaji kusamehewa mpenzi, plz naomba nielewe kwani sina mwingine zaidi yako wewe. Luv u
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
  
    ..........................
     /"""""""""/!
    /    %¤   / !
   !"""""""""! !
   !.........!/

 Ndani ya box hili kuna silaha tatu za maisha ambazo ni
Aman, Upendo na Furaha, zawadi maalumu kwa watu muhimu kama wewe.''HAPPY VALENTINE DAY''
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
>>--------->>>  Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk maisha  yangu  na kama umekutana nao usiukwepe uache uchome Moyo wako gharama za matibabu juu yangu.
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
m♥y♥ni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea,
sijui ni nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea kumbuka nilikupenda
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakiyanani mpz unanidatisha ukitembea unatingisha,mwenzio unanipagawisha kwako nimefika
 na hii namaanisha nakupenda
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kama kuvumilia nimevumilia na sasa yatosha,
nikoradhi mbivu zako kuzikosa,
kuliko kuendelea kujitesa,kumbuka nilikupenda
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
 kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
 lako.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni kusikilizana,kuvumiliana,na mahaba moto
moto kupeana na yule uliyemridhia ,mpz mbona unanibania?
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeamua kwenda kwani sihitaji kukutenda,penzi la
dhati nilikupa lakini hukutambua kuwa nakupenda
  nakutakia maisha mema na utakaye mpenda
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ama kweli!vizuri havikosi kasoro ,mapenzi yetu kutwa
hayaishi migogoro,hivi sasa giza limetanda totoro
 sijui lini tutamaliza hii migogoro?
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi
watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo
ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako
,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini
 hawajapata wa kuwaowa
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
U hali gani?Naamini mawazoni mwako upo nami japo yaweza kuwa hakuna
ukweli wowote ndani yake,lakini nataka uamini kuwa umekuwa nami
mawazoni japo sijawahi kukuona machoni
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja
kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa sasa siwezi kukupatia
kwa maana mgeni kashakuharibia
            nakupenda dear

        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ni yangu mazoea kila cku cm yako kuipokea kama si meseji kunitumia
leo naumia kila napo fikiria nini kimetokea hadi mawasiliano yetu
yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali ya kawida itarejea na
majonzi moyoni yatanipotea
         nakupenda mpz
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimezunguka pande zote za Tanzania macho nikiyaangaza kumsaka mrembo
 wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo ndani yake na kulila TUNDA lake
kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye
ulie uteka moyo wangu.        nakupenda laaziz
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
MPZ nimekumiss jamani........
sipati meseji wala simu sijui kwanini?nikikumbuka tunayoyafanya kitandani
,natamani ungekuwa nami pembeni nakunipa yasiyo kifani, nakupenda
         siutani honey
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakiri kweli nimekukosea naomba wko msamaha kwa yote yaliyotokea hakika nimekukwaza
lakini kwa hakika hii ni mara yangu ya kwanza naamini,naamini utanisamehe laaziz
na kunipa nafasi ya kulienzi lako penzi.
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru wangu laaziz kwa uwepo wako,naamin meng kunitimizia na kukata kiu la penzi langu kwa wako uhodari. Krbu mpz nikate kiu yangu.
          •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd  kuchanganyikiwa kwa ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.
Nakupenda kipenz cha moyo wangu.
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Jns navyozd kuongea nawe nataman kuwa krb yako,ni chezee zako lips na mwili wako kuukumbatia.nataman kuwa nawe kwan nna meng ya kukuambia.nilee penzin na moyon unitunze.ucku mwema mpz
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Raha ya ucngz ni ucngz . .  . .''tamu''ya penzi ni ndoto . . . . .
Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi nikiwa mimi,
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.
 Nakupenda mpz
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie nampenda sanaaaa
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Unaweza kunimiss mi2 wakati wowote unaweza kunidhalau pia unaweza kunisahau lkn siku moja kama unataka kuniona we angalia kivuli chako.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ee mungu mlaani yeyote asiyenipigia cm,kunbeep wala kunitumia sms japo kwa siku mara1.ka simu chake kaibiwe au kapate matatizo ya network,batery iwe low mara kwa mara au kazime bila sbb yeyote,kawe kanasumbua kuptiliza,au kaanguke,kapasuke,aaameen
          •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Usiku mwema mpenzi wangu, upepo wa khuba ukuliwaze katika wako mnono usingz! nakupenda kutoka kwenye chembe ya kulia ya moyo wangu mkunjufu, ulale unono dia!
Nakupend laaziz
 . . . . . . . . . . . . . . . . .
Nalia ukiwa
  ''MBALI''
nachukia nicpo
  ''KUONA''
najuta ninapo
  ''KUUDHI''
naumia unapo
  ''NITENGA''
nateseka ukiwa
  ''KIMYA''
ninafurahi
  UKINIKUMBUKA
 lakini cku moja tutakuwa pamoja
 . . . . . . . . . . . . . . . . .
Umehukumiwa kifungo cha maisha!unashtakiwa kwa kosa la kuingia moyoni mwangu na kutesa nafsi,akili na mawazo kwa uzuri na TABASAMU
lako.sawa'?afande mpeleke sero.
 . . . . . . . . . . . . . . . . .
Nipe kile ambacho nakihitaji,nipe nami niridhike,nipe bila ya kufikiria,nipe bila ya kujutia,nipe kwa kuzingatia,nipe kwa kufurahia,nipe nipate tulia,nipe nami nikupe..sio kingine ila ni salamu tu.
 . . . . . . . . . . . . . . . . .
Leo lazima nikupe ukweli wako hata ikuchome poa tu,ikuhuzunishe sitojali,ukinunia milele safi tu,ukizimia shwari si kuwa nakuogopa vile upo mbali wala!hata tukiwa karibu nitakuambia tu,maana umezidi kila siku nilikuwa nasahau kukwambia kwamba ni mmoja ya watu ninaowapenda.
 . . . . . . . . . . . . . . . .
Anayekujulia hal
  ''AMEKUWAZA''
 anayekuwaza
 ''AMEKUMBUKWA'
 anayekumbukwa
  ''ANAKUPENDA''
anayekupenda
 ''ANAJUA THAMAN YAKO.
 .  .  . . . . . . . . . . .
Nilichomeka ukachomoa ukadai hujazoea,nilitaka kuchomeka tena ukawa umeshkilia hutaki nichomeke,ikabidi nikuvizie ukiwa umelala,uliposhtuka  ukakuta nmechomeka ukaamua kuchomoa tena ,hapo nikaamua nikuache ung'atwe na mbu hadi asubuhi sbb hujui umuhimu wa net.
 . . . . . . . . . . .. . .
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?
 . . . .  . . . . . . . . . . . . .
Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati ,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!
  * . . . . . . . . . . . . .*
 kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!
  * . . . . . . . . . . . . . .*
darling jana umenikuna. . . .umenikuna c kdogo . . . .nililia ukanibembela,niliponyamaza ukaniliza tena,lkn fahamu kulia kwangu c maumivu bali utamu wako.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez kuipeza,nakupenda wewe pekee. . . .
   * . . . . . . . . . . . . .*
 haliish hamu kama uhai kwa binadamu,lilijaa moyoni likashuka mpaka kwenye mishipa ya damu kwa akili timamu zenze ufahamu ni penzi lako lisilo haramu.
  * . . . . . . . ..*by  absqua®e

Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
kiangazi aumasika
 kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika.
   * . . . . . . . . . . . . .*
 nibebe mapenzini,nilee moyoni nitunze nafsini,nifae mawazoni,nifariji matesoni,nikupende maishani.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 sina raha tena,sina hata chembe moja ya amani kwa kulikosa penzi lako kwani penzi hilo ni kama maji uhai wa mwanadamu.
   * . . . . . . . . . . . . .*
 mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila kujali.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 najua siyo kama hunipendi,ila wapata kigugumizi kwa wacwac wa kuumizwa moyo wako,amini mimi ni mwanaume thabiti,daktari halic wa moyo wako.nakupenda sana.
   * . . . . . . . . . . . .*
 furaha yangu haitakamilika bila wewe kuwa wangu,tabasamu langu halitaonekana,hadi utakapokubali langu ombi,chakula hakitanishibisha kama wewe hujakubali niwe ndani ya moyo wako.nipe nafasi dear nikuonyeshe ulimwengu wa mapenzi.
   * . . . . . . . . . . . . . *
 penzi langu kwako halina mwisho,moyo wangu kwako umefika ,nakupenda mpenzi wangu wa moyo,utaendelea kuwa wangu cku zote.pokea busu mwanana. . . Mwaa h kazi njema dear.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
 pumzi yako kwangu ni burudani ya ajabu ,nakupenda sana busu lako maridhawa shavuni mwangu.wewe ndiye furaha katika maisha yangu.labda ulikuwa hufahamu,nimekuficha moyoni mwangu mpenzi!
   * . . . . . . . . . . . .*
Najua ni kweli wanipenda,hata mimi nakupenda laaziz wangu,ila pendo lako litajidhihirisha zaidi kangu ukizidisha uaminifu.nakupenda mpenzi
  *   . . . . . . . . . . . .*
kila ninapoona macho yako nafurahia uwepo wako,nikiona tabasamu lako,nasikia homa ya moyo,nikiona chozi lako la furaha,moyo wangu unakuwa huru kwako,nakupenda sana mpenzi wangu na wewe ndiye valentine wangu. . .
Pokea busu mwaaaah
    * . . . . . . . . . . . . .*
 usiku unapoingia najawa na furaha unajua kwanini?unaponigusa nahisi tumeumbwa wawili,mchana nakumisi sana unapokuwa kazini,wikiendi natamani isiishe kwani unanipa raha ambazo siwezi kuzipata popote. . .
Naomba raha hizi usimpe mwingine. . .
   * . . . . . . . . . . . . .*
 teke la kuku halimuumizi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi haiumizi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hv tupatane baadaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo cku wakigombana wataachana. . .
  * . . . . . . . . . . . . . *
 mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako haliwezi futika.
   NAKUPENDA
  * . . . . . . . . . . . . . *
yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa yakini.
  * . . . . . . . . . . . . . .*
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo.
  * . . . . by absqua®e. . . . .*
 unajua nakupenda ila tu umeamua kunitenda rudisha moyo nyuma kasha twende sambamba mapenzi yanavyokwenda.
  * . . . . . . . . . . . . .*
Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo halitapona .nakupenda sana
Mpenzi wángù wewe ndiye mtu wa pekee ninayemtegemea kwenye maisha yangu bila wewe siwezi kuishi.
Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo yangu.nakupenda
Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni nasikia raha.
Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng'ombe akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu halitafutika kamwe.
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi!
*** *
Ahsante mungu shukrani kwako mama,pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.
*****
Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.
***** *
Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi.
*****
Mapenzi ni usaníi ukiigiza utashindwa,mapenzi yanatoka moyoni wengi walioigiza walishatengana,mpenzi wangu usiniache.
******
Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka nini?
*****
Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.
******
Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
*****
Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana bila kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kusikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. . . . . .
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini haitochuruzika ila mishipani. . . .
******
 Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki.
 ~ ~ ~  ~  ~ ~   ~   ~
 penzi la kweli siku zote hudumu,penzi la kitapeli haliishi ugomvi,mpenzi wangu leo nimegundua nakukosea na naahidi kubadilika na kuwa mpenzi mpya na bora,nisamehe . . .
 ~  ~  ~   ~  ~  ~  ~
 mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . .njo leo uniambie unataka nini?
 ~  ~  ~ ~  ~   ~   ~  ~
 nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga nikaribishe na penzi le2 2listawishe.
 ~ ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
 mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo
 kuridhishana,kupeana bila kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kusikilizana,je utaweza kujifanyia yote hayo?
 ~ ~ ~ ~ ~ ~ ~  ~ ~
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia nzima penzi langu la kweli huwezi kupata,penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki.
 ~ ~ ~ ~ ~ ~ ~ ~ ~ ~
penzi la kweli siku zote hudumu,penzi la kitapeli haliishi ugomvi,mpenzi wangu leo nimegundua nakukosea na naahidi kubadilika na kuwa mpenzi mpya na bora nisamehe. . . .
  ~  ~   ~  ~   ~  ~  ~
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . .njoo leo uniambie unataka nini?
  ~ ~  ~  ~  ~  ~  ~ ~
 nipe niridhike ,nionjeshe usinilambishe,nikikonga nikaribishe na penzi letu tulistawishe.
 ~ ~ ~  ~  ~   ~  ~  ~
Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa km mfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho.
 ~ ~ ~ ~ ~   ~  ~  ~
 wanafiki 2cwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi le2 linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
  nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.
 ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~ ~
 mwanzo 2meanza na mwisho hautofika na km ukifika ww ukifa na mi nikizikwa.
 ~  ~  ~ by absqua®e ~  ~ ~
  ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.
 ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
 Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najua wanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwa uzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda * * *
 ~  ~   ~  ~  ~
 mpenzi nashukuru nikikuacha nitakuwa ninakufuru mi ndiyo mpenzio na hauna mwenzako mpenzi kuwa huru.
~  ~  ~  ~  ~  ~   ~ ~
  wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaacha midomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendelee kupendana,wanafiki roho ziwaume!
~  ~  ~  ~  ~  ~  ~   ~
 najua umechoka sana dear, hakuna dawa nyingine zaidi ya penzi langu la dhati,wahi  kurejea nyumbani swt,nikuondoe uchovu.
  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
 kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda wewe ni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama ni mapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zote maishani mwangu.
  ~ ~ ~ ~  ~  ~  ~  ~
 nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika daima.
  ~ ~  ~  ~  ~  ~  ~
 sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
  ~  ~  ~  ~  ~   ~   ~
 Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele!
  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
  natamani kuona macho yako ukiyafumba,natamani kusikia sauti za chini za ndoto zako za ucku,natamani kukuona ukijigeuzageuza kitandani! Natamani busu lako la kunitakia ucku mwema ,lkn yote hayo hayawezekani kwakuwa 2po mbali! Nakupenda dear.
  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
 sasa ni usiku najua utakuwa umechoka kwa kazi kutwa nzima ya leo,pumzika mpenzi wangu,ukipanga mambo ya kesho ,lkn elexa ki2 kimoja ,hakuna mwingine moyoni mwangu zaidi yako!
  ~  ~  ~   ~   ~   ~   ~
  ulikuwa mwanzo mgumu sana kwangu ,lkn moyo nikajipa na kukuweka wazi kuwa nakupenda!
Sikuamini ulivyonikubalia na kunikaribisha moyoni mwako ,nakupenda sana dear ,usiku mwema laaziz wangu!
  ~  ~   ~   ~  ~  ~  ~
 najua kazi za kutwa nzima leo zitakuwa zimekuchosha sana mpenzi wangu,pumzisha akili yako na mwili wako kwa ajili ya kufanya kazi tena kesho.pole sana dear!
  ~   ~    by absqu®e   ~    ~
 akili yako imechoka,hata mwili wako pia!huu ni wakati wako wa kupumzika mpenzi,nakutakia usiku mwema,lkn uache moyo wako uwe macho kwa kuwa yupo anayekupenda kwa dhati! Nakupenda sana mpenzi wangu,pokea busu mwanana . . .mwaaaaaa . . . . .
  ~  ~  ~  ~  ~  ~  ~
  mtoto unajua kutabasamu maana kila nikiitazama picha yako napatwa na hamu ya ...., natamani kama ningekuwa ufukweni tukila upepepo mtamu huku tukipeana maneno matamu, kisha mzuka ukipanda tukatoane hamu au unasemaje?
1. Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua wanitia uchizi na kuninyima usingizi, sijui kama una kizizi au ni mapenzi ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi nimekumiss kichizi, u hali gani mpenzi?

2. Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!

3. Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

4. Mpenzi najua u-mbali nami, majaribu ni mengi wapaswa kujihami, nituniye zangu zabibu wangu tabibu, jitahidi kuwa mvumilivu nitakuja kukutibu, miss u ma luv.

5. Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.

6. Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu, unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako matamu hunizidisha hamu, hakika wajua kunikamua, luv u.

7. Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua, kiuno, sauti yako tamu mithili ya chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia, nakupenda usije niacha nitajiua!

8. Mambo yako adimu ndiyo yanayonipa wazimu, nikuonapo hupatwa hamu, hutamani unipatiye wako utamu, la azizini lini utakuja kunitoa hamu, hakika nimemiss wako utamu na kwa kuupata sifahamu maana ni wewe tu ndiyo mtaalamu. Miss u

9. Dear siku zimekaribia, miaka …… utatimiza katika hii dunia, hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi. Happy Birthday mpenzi.

10. Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.

11. Siamini kilichotokea, hakika nimekukosea, lakini naapa katu sitorudia, upuuzi niliokufanyia, najua jinsi gani waumia ndiyo maana umeninunia, nisamehe mpenzi nafsi yangu ipate kutulia kwani bila wewe sin thamani katika hii dunia!

12. Namini utakuwa umerejea kwenye yako makazi na umechoka na kazi mpenzi, badili yako mavazi, bafuni ingia upate maji kujimwagia, nakupenda la azizi, pole sana na kazi!

13. Huna haja ya kulia kwa yaliyotokea kwani si wakwanza katika hii dunia, mpenzio kumfumania, wengi huwatokea katika hii dunia, tulia na vumilia Mungu atakupatia mpenzi aliyetulia, pole rafiki yangu klpenzi ndiyo mambo ya dunia!

14. Giza limeingia simuoni wakunikumbatia niko kama kinda la njiwa na zaidi ya mshitakiwa mwenye hatiya, sjiui wapi joto kwa kwakulipatia na wajua kipupwe kimewadia, uko wapi my dear?

15. Mpenzi sijui umenipa kizizi maana huishi kunijia kwenye njozi, hakika kwako sijiwezi, nadaka kila nikikuona kwenye lako pozi na usiku ukifika ndipo hutawala zangu njozi, tafadhali mpenzi usiniweke pozi, u hali gani la azizi?

16. Nashukuru kwa yako dozi hakika katika mapenzi wewe ni mkufunzi, wajua bakora kuitumia, mpenzi usije ukawa na mwingine unayempatia, hakika nikijua nitaumia kama sikujiuam. Nnakupenda!

17. Wangu Malkia nashukuru kwa mahaba uliyonipatia, nikikumbuka miguno na viuno ulivyonipatia na raha niliyojisikia, nahisi kuna mwingine unampatia, please dear penzi langu usije wengine kuwapatia! Nakupenda.

18. Ulisema wanipenda na katu kwa mwingine hutokwenda na leo umenitenda! Umeamua kwenda ingawa wajua bado nakupenda, leo ni siku kenda toka umekwenda, amini bado nakupenda na kwa mwingine siwezi kwenda!
        ...........................
 · Masika ndiyo hiyo imewadia, baridi nalo ndio limenichachia, mpenzi lini waja joto kunipatia? Mwezio naumia!

· Joto ndio kitu nachotarajia kutoka kwao mke wangu mtarajiwa, usisikilize maneno yakuambiwa, ni wewe tu mwenye thamani kwangu katika hii dunia.

· Wikiend ndiyo siku niliyokuwa nikiisubiria mimi nawe mpenzi tupate tulia, mahaba na maneno matamu ndio zawadi niliyokuandalia. Kumbuka yetu miadi na jali wakati!

· Kila siku mimi ni mtu wa kulia, ipo siku uvumilivu utaniishia, hivi ni kwa nini hutaki kutulia na kila kitu nimekupatia, wewe wehuka na hao wanaokupapatikia, lakini utaja jutia siku ikiwadia.
            .................

· Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana, sasa nafsi yangu ishasema hapana, namuomba Maulana akujalie kheri na afya njema daima, kumbuka nilikupenda sana.
            .................

· Najua unanipenda lakini nataka kwenda sasa ni miaka kenda, ndoa wazidi ipiga kalenda, sioni sababu ya kukutenda ndio maana nataka kwenda! I will miss u.
            ................

· Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo huhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako, nakupenda mpenzi.
           ..................

· Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba, napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupa mahaba yanayozidi shaba. Nakupenda.
           .................

· Kina ninapokukumbuka machozi yanidondoka, hivi leo mwana wa mwenzio ninaumbuka kwa kuparamia mapenzi kwa pupa, ukweli nakupa, hivi sasa najuta! Nisamehe mpenzi.
         ......................

· Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wakwe zangu, unajua ni kwa nini? Ni siku waliyokuleta kwenye hii dunia, happy birthday mpenzi!
            ..................

· Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitoto na zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto, nahitaji uwe wangu mama watoto!
          ..................

· Hakika najutia nafsi yangu kukupatia mwanaume kiruka njia kila mwanamke wewe akuvutia, nguo shuruti wataka akuvuliye, katu penzi sitakaa nikupatiye.
         ....................
nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo wangu
 mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo
 lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi
 nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo daima milele.
       nakupenda mpz
 ~  ~     ~   ~   ~   ~   ~     ~    ~
mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele  kwa kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat na mapenz mazito zito,
 . .  .  .   .   .   .   .    .   .   .   .  .  .
 macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila mwili wangu upo kwa ajili yako dear
 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
cheka na wote ,tabasamu npe mimi ,wape shavu wote ulimi niachie mimi,wape wote kila k2 lkn tunda nipe nami, mpende kila mtu lkn moyoni niweke mimi.
      .  . . .    . . . . .     . . . .
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
    .  . . . . . . . . . . . . . . . . .
hi baby mambo
  nakupenda sana yaan kiac kwamba nikikutomasa haifai,nikikukic haifai na nikikumbatia haifai,ila kuna jambo moja 2 umesahau kunitimizia ,itmze raha nayotaka je n jambo gan?
 . .   .  .  . . . . . . . . . .  . . . . . . . . .
ni nzuri sakafuni hata kwenye mkeka ,inanokea sana kwenye  sofa mmmh! ucseme ni nzur sn kitandani,namaanisha sala ni popote pale na ni mda wote ucmsahau mola wako muda wote.
    . . . . . . . . . . . . . . . . .

Nakumbuka siku utamu ulityonipa maneno matamu kedekede hukusita kunipa na ahadi kibao masikioni mwangu zilisikika, hakika roho yangu haikusita kuamini kwako nimefika, nashangaa leo utamu hutaki nipa!
   .............................
Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, tupendane daima lahazizi…
     ...........................
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu!
     ...........................
SWAHILI LOVE SMS
1. Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahaba yako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokea amini. Elewa mimiwako sikuachi asilani
      ........................
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako daima, nakupenda dear…
    ............................
 Kutokana na penzi la siku ya kwanza kwako, bado ninatamani kuendelea kujificha katika moyo wako, wewe ni taa ya maisha yangu, nahitaji uwe nami siku zote, nami nitakuwa nawe, hadi kifo kitapotutenganisha! Hii ni ahadi ambayo sitaivunja hadi siku naingia kabuni, tupendane mpenzi…
   ................................

Usiku wa jana ulikuwa wa aina yake, ulinipa mambo matamu yasiyo ya kawaida, ulinifurahisha sana mpenzi wangu, ulidhihirisha kuwa wewe ni kidume uliyeubwa kwa ajili yangu..
    .............................

Kutokana na penzi la siku ya kwanza kwako, bado ninatamani kuendelea kujificha katika moyo wako, wewe ni taa ya maisha yangu, nahitaji uwe nami siku zote, nami nitakuwa nawe, hadi kifo kitapotutenganisha! Hii ni ahadi ambayo sitaivunja hadi siku naingia kabuni, tupendane mpenzi…

    ..............................

Hiki ni kipindi muhimu kwetu, kuoneshana mapenzi ya kweli, wanafiki wabaki kimya kwa aibu zao…

    ...............................

Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, tupendane daima lahazizi…

   ..................................

Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu!

   ..............................

 Moyo wangu umekupenda wewe peke yako, kamwe sifikirii kwenda kwa mwingine. I luv you honey...
   ..............................
Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...

   ..........absquare..........

Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu peke yako dear...

   .........absquare............

  Siyo rahisi kuishi bila wewe, maana wewe maishani mwangu ni sawa na maji katika maisha ya binadamu. Mwaaaaa

      ......absquare.............

 
Ni kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu. Nakupenda sana, pokea busu mwanana....mwaaaaaaaa...

     ......absquare............

     oMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO:
 
Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!

                 *****

Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!

                *****

Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!

               *****

Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!

              *****

Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene!

                 ****

 Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear...
        .....absquare.......
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni siri ya maisha matamu
     nakupenda mpz
  . . . . . absquare.  . .
mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je?
      ......absquare......
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo ,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?
       ...absquare.....

mtoto unajua kutabasamu maana kila nikiitazama picha yako napatwa na hamu ya ...., natamani kama ningekuwa ufukweni tukila upepepo mtamu huku tukipeana maneno matamu, kisha mzuka ukipanda tukatoane hamu au unasemaje?
                                         ...................


. Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua wanitia uchizi na kuninyima usingizi, sijui kama una kizizi au ni mapenzi ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi nimekumiss kichizi, u hali gani mpenzi?
                                           .................
                                       

. Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!
                                            ..................

. Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.
                                             .................

. Mpenzi najua u-mbali nami, majaribu ni mengi wapaswa kujihami, nituniye zangu zabibu wangu tabibu, jitahidi kuwa mvumilivu nitakuja kukutibu, miss u ma luv.
                                             ..................

. Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
                                            .....................

. Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu, unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako matamu hunizidisha hamu, hakika wajua kunikamua, luv u.
                                             ..................

. Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua, kiuno, sauti yako tamu mithili ya chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia, nakupenda usije niacha nitajiua!
                                           ........................

. Mambo yako adimu ndiyo yanayonipa wazimu, nikuonapo hupatwa hamu, hutamani unipatiye wako utamu, la azizini lini utakuja kunitoa hamu, hakika nimemiss wako utamu na kwa kuupata sifahamu maana ni wewe tu ndiyo mtaalamu. Miss u

                                             .....................
. Dear siku zimekaribia, miaka …… utatimiza katika hii dunia, hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi, zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi. Happy Birthday mpenzi.

                                              .....................
. Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.
                                             .......................

. Siamini kilichotokea, hakika nimekukosea, lakini naapa katu sitorudia, upuuzi niliokufanyia, najua jinsi gani waumia ndiyo maana umeninunia, nisamehe mpenzi nafsi yangu ipate kutulia kwani bila wewe sin thamani katika hii dunia!

                                             ..........................
. Namini utakuwa umerejea kwenye yako makazi na umechoka na kazi mpenzi, badili yako mavazi, bafuni ingia upate maji kujimwagia, nakupenda la azizi, pole sana na kazi!

                                             ........................
. Huna haja ya kulia kwa yaliyotokea kwani si wakwanza katika hii dunia, mpenzio kumfumania, wengi huwatokea katika hii dunia, tulia na vumilia Mungu atakupatia mpenzi aliyetulia, pole rafiki yangu klpenzi ndiyo mambo ya dunia!

                                             ...........................
. Giza limeingia simuoni wakunikumbatia niko kama kinda la njiwa na zaidi ya mshitakiwa mwenye hatiya, sjiui wapi joto kwa kwakulipatia na wajua kipupwe kimewadia, uko wapi my dear?

                                               .......................
. Mpenzi sijui umenipa kizizi maana huishi kunijia kwenye njozi, hakika kwako sijiwezi, nadaka kila nikikuona kwenye lako pozi na usiku ukifika ndipo hutawala zangu njozi, tafadhali mpenzi usiniweke pozi, u hali gani la azizi?
                                                 ......................

. Nashukuru kwa yako dozi hakika katika mapenzi wewe ni mkufunzi, wajua bakora kuitumia, mpenzi usije ukawa na mwingine unayempatia, hakika nikijua nitaumia kama sikujiuam. Nnakupenda!

                                                  .....................
. Wangu Malkia nashukuru kwa mahaba uliyonipatia, nikikumbuka miguno na viuno ulivyonipatia na raha niliyojisikia, nahisi kuna mwingine unampatia, please dear penzi langu usije wengine kuwapatia! Nakupenda.
                                                 ................

. Ulisema wanipenda na katu kwa mwingine hutokwenda na leo umenitenda! Umeamua kwenda ingawa wajua bado nakupenda, leo ni siku kenda toka umekwenda, amini bado nakupenda na kwa mwingine siwezi kwenda!
                                                  ................
 Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia, utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u        .....................
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u
       ....................

 Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda dear
      ......................

 Hakika najutia kwa mambo unayonifanyia, nilijitoa kwa moyo wote na mwili wangu
kukuachia chochote utakacho kunifanyia ruhusa nilikupatia nikiamini utatulia
kumbe kunichezea ilikuwa yako nia, umetimiza sasa waniringia. Asante na Mungu
atanisaidia , kilio changu tena hutosikia . Stay blessed
        ....................
Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
      .......................

 Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani nakusubiria! Luv u
      ......................

 Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi, yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi, katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
         .................

Jamani msg huwezi kunitumia, hata bipu nipate jua rohoni nimekuingia, ila ukata
umekuingia. U hali gani dia?
        .....................

Hakika nakuhurumia kwa msiba uliokukumba, lakini kumbuka mwenzetu ametangulia
nasi tutafuatia, hakuna haja ya kulia bali ahitaji kuombewa. Mungu akutie nguvu!
        .......................
 Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu
kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!
       .......................

 Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni,
hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda
         ..................
 Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka kufa, kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa, nakupenda na nitakupenda hadi kufa!
       .....................

. Asubuhi imefika ni muda wa kujiandaa na pilika, lakini kazini ukifika isisahau
kutumia japo nusu dakika rafiki zako salamu kuwapa, swawabu utapata! Asubuhi
njema.
        ................
. Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.
       ....................
. Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.
          ..................

  ,,,,,,,,,,,,,
  |~<¤>~|
  """'''''''''"""
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe.
Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, nimeambiwa ili

nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha yk,     (3)upendo wk,    (3)tabasam yk.
Je! uko tayari kuokoa maisha yangu?
....I LOVE U....
....MMWAAAA     
          .................

   .;"";.  .;"";.       
   '+,   "   ,+'==>?
       "+,+" 
 Hii ni zawadi ya upendo kutoka kwangu ihifadhi ili upate kunikumbuka kama ninavyo kukumbuka.ve gr8 morn
          .................
Nnahmu! nnahamu, Nnahamu jmani nnahamu, Nnahmu mpka nashindwa kujzuia,Ninhmu ya kkutkia ucku mwemw.
           .............
Kama jicho langu halija kuona basi moyoni daima nakukumbuka na ikiwa dua zangu hazijakulinda basi mungu daima
atakulinda,nami cna budi kukutakia usiku mwema.
      ......................
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni siri ya maisha matamu
     nakupenda mpz
           ..............
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"
nakupenda laazizi
    ..................
"Kama mimi nilikuwa na maua  kila wakati mawazo yangu yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla yako je wewe ungekuwepo nayo ungempa nani kwanza? "
....................
Kwa maoni ushauri na mengineyo usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0752520417. Kumbuka sisi tupo kwa ajili yenu bila maoni yenu wala ushauri hatuwezi songa.Au fungua hapa ku Like page yetu

Post a Comment

  1. Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma

    Kwaheri Gerd Ulrich

    ReplyDelete
  2. Sikuamini kuwa ningeweza kuungana tena na mpenzi wangu wa zamani, nilipatwa na kiwewe nikiwa nimesimama peke yangu bila mwili kusimama na mimi na kuwa nami, lakini nilipata bahati sana siku moja nilikutana na mchawi huyu wa hodari Dk. ASUBUHI, baada ya kumueleza hali yangu alifanya kila liwezekanalo kumuona mpenzi wangu anarudi kwangu, kweli baada ya kunifanyia uchawi mpenzi wangu wa zamani alirudi kwangu chini ya masaa 48, mpenzi wangu wa zamani alirudi akiniomba kuwa hatawahi. niache tena, miezi 3 baadaye tulioana na kuoana, ikiwa pia una hali sawa. Ana nguvu nyingi katika mambo yake;
    *penda uchawi
    * kama unataka ex wako nyuma
    * Acha talaka
    *kuvunja mawazo
    * huponya viharusi na magonjwa yote
    * uchawi wa ulinzi
    *Ugumba na matatizo ya ujauzito
    Wasiliana na Dk DAWN kwa barua pepe yake: dawnacuna314@gmail.com
    Whatsapp: +2349046229159

    ReplyDelete
  3. Sikuamini kuwa ningeweza kuungana tena na mpenzi wangu wa zamani, nilipatwa na kiwewe cha kusimama peke yangu bila mwili wa kusimama na kuwa nami, lakini nilipata bahati sana siku moja nilikutana na Dk DAWN, baada ya kumwambia. kuhusu hali yangu alifanya kila liwezekanalo kumuona mpenzi wangu anarudi kwangu, kiukweli baada ya kunifanyia uchawi mpenzi wangu wa zamani alirudi kwangu chini ya masaa 48, mpenzi wangu wa zamani alirudi huku akiniomba kuwa hatoniacha kamwe. tena. Miezi 3 baadaye tulioana na kuoana, ikiwa una hali sawa. Ana nguvu nyingi katika mambo yake;
    * upendo
    inaelezea * inaelezea kivutio
    * kama unataka ex wako nyuma
    *acha talaka
    *kuvunja mawazo
    * huponya viharusi na magonjwa yote
    * uchawi wa kinga
    *Ugumba na matatizo ya ujauzito
    * bahati nasibu
    * bahati nzuri
    Wasiliana na Dk Ediomo kwenye barua pepe yake: dawnacuna314@gmail.com
    Whatsapp:+2349046229159

    ReplyDelete
  4. kama ungependa kuokoa uhusiano/ndoa yako basi nitakupendekeza kwa Dk Dawn. alinisaidia kurejesha nyumba yangu baada ya miezi 11 ya utengano mkali kati yangu na mume wangu. Nilielekezwa kwake na dada yangu mkubwa wakati ndoa imeisha, akarudisha amani na furaha katika ndoa yangu, pia amesaidia marafiki zangu wengine na wanaishi kwa furaha kwa msaada wa Dk Dawn,
    Wasiliana naye ikiwa unahitaji usaidizi wa kurejesha uhusiano/ndoa yako/ ikiwa unataka kupata mimba au kuponya aina yoyote ya ugonjwa:
    Dk Dawn hatawahi kukukatisha tamaa:
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
    WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete
  5. Habari zenu. Ilikuwa ngumu sana kwangu wakati mpenzi wangu aliniacha kwa mwanamke mwingine. Niliharibiwa kihisia, nilivunjika moyo na sikujua la kufanya ili kumrudisha. Nilihangaika kwa miezi mingi na niliendelea kutafuta msaada kutoka kila mahali hadi nilipopata kujua kuhusu DR DAWN. Niliwasiliana naye na kumweleza shida zangu. Alikuwa tayari kunisaidia na kunisisitiza nifuate taratibu ili aweze kurejesha penzi kati yangu na mtu wangu na pia kuhakikisha tunarudiana wote wawili. Nilipata mahitaji yote na ilifanya kazi hiyo. Baada ya saa 48, nilipata ujumbe kutoka kwa mpenzi wangu akiniuliza tarehe. Sasa tuko pamoja tena na shukrani zote kwa DR DAWN. Anaweza kukusaidia kumrudisha mpenzi wako,
    Anaweza kukusaidia na uchawi wa ujauzito,

    Anaweza kukusaidia kuponya aina yoyote ya ugonjwa.

    ikiwa uko tayari kuamini na kubaki na matumaini. Watumie barua pepe tu kupitia: dawnacuna314@gmail.com
    WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete
  6. Baada ya kuona chapisho kwenye mtandao la Jenna kutoka USA akisema jinsi alivyosaidiwa na Dk. DAWN, niliamua pia kuwasiliana naye kwa msaada kwa sababu sikuwa na chaguo nilichotaka ni kumrudisha mpenzi wangu na furaha. Kwa mshangao mkubwa mpenzi wangu alifika nyumbani akiwa amepiga magoti kwamba nitafute nafasi moyoni mwangu kumsamehe, hakika nilistaajabu na kushtuka mpenzi wangu alipopiga magoti akiomba msamaha na mimi nimkubalie tena. Kweli nimepungukiwa na maneno, na sijui ni kiasi gani cha kukushukuru wewe Dr. DAWN. Wewe ni Mungu aliyetumwa kurejesha uhusiano uliovunjika, Na sasa mimi ni mwanamke mwenye furaha. mawasiliano yake ni Whatsapp +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X