SHEBBY D BLOG
Madereva Bajaj na bodaboda wakiwa nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar wakipinga tamko la kuzuiwa kuingia katikati ya jiji.
Polisi wakiwa eneo la tukio kudumisha ulinzi.![]() |
Mmoja wa madereva hao, akiongea na wanahabari alisema kwamba wameamua kuandamana mpaka ofisi za Chadema kwa kuwa wanaamini ndio watapata msaada wa tatizo lao.

Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment