Madereva Bajaj na bodaboda wakiwa nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar wakipinga tamko la kuzuiwa kuingia katikati ya jiji.
Polisi wakiwa eneo la tukio kudumisha ulinzi.
Mmoja wa madereva Bajaj akiongea na vyombo vya habari nje ya ofisi za Chadema.
WAENDESHA bodaboda na Bajaj jijini Dar leo wameandamana mpaka ofisi
za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zilizopo
Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Nia ya maandamano hayo ni kupinga tamko
linalowataka kutopeleka abiria maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar.
Mmoja wa madereva hao, akiongea na wanahabari alisema kwamba wameamua
kuandamana mpaka ofisi za Chadema kwa kuwa wanaamini ndio watapata
msaada wa tatizo lao.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment