“Watu wamenizushia mambo kibao kuhusiana na ujauzito wakati sina na wala sijawahi kuwa kwenye uhusiano na kigogo yeyote wa serikalini, hata mtu anayetajwa sijawahi kumuona zaidi ya kumsikia tu.
“Naomba nieleweke kuwa nina mchumba wangu na anajulikana hadi kwetu,” alisema Linah.

Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment