Wataliano walifungwa na Waspanyola katika Fainali ya Euro mwaka jana wameshindwa kulipa kisasi na sasa Fainali ya michuano hiyo mwaka huu Jumapili Uwanja wa Maracana, itawakutanisha wenyeji La Roja na Brazil wenyeji.
Leonardo Bonucci wa Italia alikosa moja ya penalti 14 na Jesus Navas akaweka nyavuni mkwaju wa mwisho na kuipeleka Hispania Fainali.
Ni tishio: Hispania wametinga Fainali ya Kombe la Mabara kwa kuifunga Italia kwa penalti mjini Fortaleza
Ushindi wa mbinde: Hispania wakishangilia 7-6 na sasa watamenyana na Brazil
Maumivu:
Italia wameng'oka Si zaidi ya mwaka uliopita, Italia walipigwa 4-0 mjini Kiev, lakini The Azzurri waliwasili Fortaleza wakiamini kisasi kinawezekana, ingawa haikuwa hivyo.
Kikosi cha Hispania kilikuwa: Casillas, Arbeloa, Sergio Ramos, Pique, Jordi Alba, Xavi, Busquets, Iniesta, Pedro/Mata dk79, Torres/Javi Martinez dk94 na Silva/Jesus Navas dk52.
Italia: Buffon, Maggio, Bonucci, Barzagli/Montolivo dk45,Chiellini, Candreva, De Rossi, Pirlo, Marchisio/Aquilani dk79, Giaccherini na Gilardino/Giovinco dk91.
Off target: Italy blinked first in the shout-out when Leonardo Bonucci fired over at 6-6
Decisive: Jesus Navas stepped up to score the winning penalty and send Spain to the final



This one is for you: Pique celebrates Spain's victory by the tightest of margins
Greetings: Shakira meets FIFA president Sepp Blatter in the VIP lounge
Support: Shakira was watching her partner Pique in action for Spain


Onwards and upwards: Shakira left the stadium happy as Pique's Spain team moved into the final to play Brazil
On the box: A spectator enjoys the party atmosphere in Fortaleza
Evens: The teams were locked at 0-0 after 120 minutes in the all European semi-final
Outnumbered: Italy's Giorgio Chiellini tries to win a header against Sergio Ramos and Gerard Pique
Effort: Fernando Torres attempts a shot on goal as Gianluigi Buffon watches
Stretch: Christian Maggio gets his head to the ball in front of Spanish goalkeeper Iker Casillas
On the ball: Manchester City's David Silva attempts one of his elusive runs
Held his nerve: midfielder Andres Iniesta slotted his penalty past Buffon in the Italian goal
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment