0

Dj maarufu wa New Maisha Club Dodoma ajikuta kwenye wakati mgumu baada ya kunaswa na Paparazi wetu katika hali ambayo si ya kawaida, Ilikuwa ni majira ya usiku mnene ambapo Dj huyu wa Maisha Club alinaswa na Paparazi wetu maeneo flan akiwa na msichana mdogo mdogo ambaye inasadikika na Mheshimiwa wa cheo kikubwa serikalini(Jina tunamhifadhi),

Paparazi wetu aliwanasa wakipeana ladha wazi wazi na kila mmoja kuonekana mdhaifu kwa mwenzake,Dj Abou pamoja na mheshimiwa huyo baada ya kushtukua amenaswa na paparazi wetu,Alimshushia mkwala mzito sana na kutishia kufunja camera ya paparazi wetu, lakini mkwala huo uliishia kupotelea angani baada ya wasamaria wema kuja kumaliza mzozo huo.

CDT:Boss Ngasa

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X