0

HUYU NI MWANAE BARAKA CHARLES KULWA

MAPADRI NDIO WALIONGOZA MISA

Pia wanakwaya kama kwaida awakuwa mbali

NDUGU JAMAA NA MARAFIKI





MKUU WA WILAYA YA BUKOMBE NAE ALIKUWEPO

HUYU NI MUHESHIMIWA DIWANI WA RUNZEWE MZEE SAFARI

Mkuu wa wilaya akiongea machache kwa watu waliofika hapo. Familia ya marehemu Chalres Kulwa ikiongozwa na Docta Baraka inatoa shukrani kwa wote waliofika.
PICHA ZOTE ZIMEPIGWA NA PAULO BAKEBULA WA RUNZEWE

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X