0
“Pesa huleta jeuri, pesa huleta majivuno, ukiwa na mkwanja hakuna kinachoshindikana”,
Msemo huu umejidhihirisha kwa matajiri wa jijini Londoni nchini England chni ya umiliki wa miaka 10 wa bilionea Roman Abramovinch, klabu ya Chelsea,   baada ya kutangaza kutoa ofa ya pauni milioni 60,  mshahara wa laki 2 na elfu 40 kwa wiki , na mkataba mnono wa miaka 5, endao nyota wa Manchester United, baba mwenye watoto wawili, Wayne Rooney kama atalazimisha kuihama klabu yake ya Manchester United majira haya ya joto ya usajili barani Ulaya.
Rooney ni chaguo la kwanza la kocha wa Chelsea, Mreno Mario Jose Dos Santos Ferlix Mourinho :The Happy One” katika usajili wa majira haya ya joto, na tayari mkurugenzu mkuu wa karibu hiyo amemtia moyo wa kumnasa kwani wapo tayari kumwaga pesa ndefu na kumtia nyavuni.
Japokuwa  Rooney aliambiwa wiki iliyopita na meneja wake mpya David Moyes kwamba haondoki Old Trafford, lakini kuna mambo ambayo  wawili hao bado hawajakubaliana.
Nyota huyo aliyetofautiana na kocha wake wa zamani sir Alex Ferguson, amebakisha miaka miwili katika mkataba wake wa kuichezea United, na mpaka sasa ameonesha nia ya kuihama klabu hiyo, hivyo Chelsea wananyemelea nafasi hiyo kumnasa.
Mourinho, ambaye alianza kuifundisha timu yake kwa mara ya kwanza hapo jana, anataka kumchukua Rooney ili aanze upya maisha ya soka darajani.
Target: 
Chelsea are set to launch a bid for Wayne Rooney despite David Moyes 
saying he is not for saleAnasakwa vibaya sana: Chelsea wameamua kutuma ofa kwa David Moyes ingawa alitangaza kuwa hafanya biashara, lakini wakali hao wa darajani wanamhitaji jembe  Wayne Roonye
Will he 
stay or will he go? Rooney's future at Manchester United has been 
debated this summerAtabaki au ataondoka? Maisha ya baadaye ya Rooney katika klabu yake ya  Manchester United bado hayajulikani
New man 
in charge: David Moyes says he does not want to sell RooneyKocha mpya wa United: David Moyes amesema hamuuzi Rooney kwa sasa
Welcome 
back, Jose: Frank Lampard and John Terry will be pleased to see the 
return of Mourinho to Chelsea Karibu tena Jose: Malejendari, Frank Lampard na John Terry wamefurahi kuona ujio wa Mourinho katika klau yao ya Chelsea
Under 
instruction: The Portuguese speaks to Demba Ba and Gary Cahill while 
armed with an iPad Wanapewa sumu za uwanjani: Mreno akizungumza na Demba Ba na Gary Cahill huku akishika iPad, chezea kocha wa kigijitali wewe!!
Mourinho pia anaitaka saini ya Luis Suarez na Gonzalo Higuaini na ameshazungumza na washauri wake kuhusiana na hilo, lakini nao Arsenal wanamuwinda Higuain kwa nguvu zote, tusubiri tuone nani mwanaume wa kweli.
position at Liverpool and has asked his advisors to be kept informed about his position. Arsenal are also monitoring the Uruguayan, but remain focused on rubber-stamping Gonzalo Higuain’s protracted move from Real Madrid.
Higuain amekubali kujiunga na Gunners kwa dili ka kukunja mshahara wa pauni laki moja na nusu kwa wiki, huku ada ya uhamisho iliyopangwa na Real Madrid ni pauni milioni 25, wakati Arsenal na Chelsea wanafika 23.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X