0

cq5dam.web.540.390Leo wananchi wa Zambia wanapiga kura kuchagua Rais wa nchi hiyo, baada ya kufariki kwa liyekuwa Rais wa nchi hiyo,  Michael Sata ambaye alifariki mwezi October, 2014 akiwa kwenye matibabu  London, Uingereza.
Chama tawala cha Patriotic Front kinawakilishwa na Edgar Lungu na  Hakainde Hichilema anayewakilisha United Party for National Development kwenye uchaguzi huo.
Election II
Tume ya Uchaguzi Zambia imesema zoezi la kuhesabu kura litaanza muda mfupi baada ya kukamilika kwa zoezi la kupiga kura na matokeo yatatangazwa ndani ya saa 48, Rais atakayeshinda atakaa madarakani kwa kipindi cha miezi 18 tu ili ufanyike uchaguzi mkuu mwingine.
Election

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X