0

instagram-signMuimbaji Hamis Baba aka H Baba ambaye muda si mrefu na mkewe wanatarajia kupata mtoto wa pili kwenye familia yao, leo ameamua kuandika kwenye ukurasa wake Instagram kuhusu nini ambacho anakiona kwenye muziki wa mastaa wawili, Diamond Platnumz na Ali Kiba.
Ujumbe huo unasomeka hivi ;Mie nawakubali wote kila mmoja ana ladha yake kwenye muziki wa #bongoflava chamsingi tuwapeni Saport kwenye show ya jumamosi pale uwanjani leaders Club pia kwenye Kazi zao#Sio kuzomea haipendezi kabisa wala Sio Upendo tulionao watanzania #wote wanafanya Kazi nzuri kila mmoja ana mashabiki wake kelele za nini waacheni wafanye Kazi nzuri ili walitangaze taifa letu la #Tanzania nje ya tanzania uko kwenye upinzani Sio nyumbani? NAWATAKIA show NJEMA jumamoc iwe naamani mashabiki wote wa #KIBAna #dai’— @h_baba123

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X