
Ujumbe huo unasomeka hivi ;‘Mie nawakubali wote kila mmoja ana ladha yake kwenye muziki wa #bongoflava chamsingi
tuwapeni Saport kwenye show ya jumamosi pale uwanjani leaders Club pia
kwenye Kazi zao#Sio kuzomea haipendezi kabisa wala Sio Upendo tulionao
watanzania #wote wanafanya Kazi nzuri kila mmoja ana mashabiki wake kelele za nini waacheni wafanye Kazi nzuri ili walitangaze taifa letu la #Tanzania nje ya tanzania uko kwenye upinzani Sio nyumbani? NAWATAKIA show NJEMA jumamoc iwe naamani mashabiki wote wa #KIBAna #dai’— @h_baba123
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment