
Marehemu Kanumba.
IMEVUJA!
Kuvunjika kwa Kundi la Bongo Movie Unity kumedaiwa kuwa ni laana ya
aliyekuwa memba hai wa kundi hilo, marehemu Steven Kanumba kutokana na
kumnyanyapaa enzi za uhai wake, mchapo kamili huu hapa.
Kwa
mujibu wa chanzo makini, Kanumba alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa
kundi hilo lakini kabla hajafa, yaliibuka majungu ambayo yalimsababisha
ajiengue na kususia kundi hilo huku akiwa na kinyongo moyoni.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment