0


Kijana mmoja  ambaye amefahamika kwa jina moja la Ridhiwan  akutwa na wananchi  Akimlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro majira ya saa 11 jioni hii 


Amani Athumani aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita
Huyu ndiye mtoto  aliye lawitiwa mwenye umri wa Miaka (12.)

 Amani Athumani akiwa Chini ya ulinzi baada ya kukamatwa akiwa anamlawiti mtoto wa Miaka 12
 Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyelawiti mtoto
 Wananchi  wakiwa  wamejitokeza ili kumukamata  kijana huyo...
Mpaka sasa kijana huyo yupo eneo alililo kamatwa Njiro karibu na PPF.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X