Mafunzo!
Mafunzo!
Tutajirike
Sote
Kampuni
ya Padlock Limited ya Jijini Dar es Salaam inayotoa mafunzo ya
ujasiriamali nchini chini ya timu mahiri yenye ujuzi wa hali ya juu katika
masuala ya ujasiriamali sasa inakuletea mafunzo ya siku tatu kwa wajasirialmali
na wale wenye ndoto ya kua wajasiriamali.
UKUMBI: GREEN VIEW
ENEO:RUNZEWE
MUDA: Saa:9:00 Asubuhi mpaka saa:3:00 Alasiri.
SIKU:JUMATATU Tarehe: 17 Mwezi wa 3 Mwaka: 2014
:JUMANNE Tarehe: 18 Mwezi wa 3 Mwaka: 2014
:JUMATANO Tarehe: 19 Mwezi wa 3 Mwaka: 2014
NJOO
UJIFUNZE KUTENGENEZA:
Sabuni
ya Majivu ya Kuogea, Sabuni ya Majivu ya Kufulia, Sabuni ya Mche, Sabuni ya
Magadi, Sabuni ya Maji, Sabuni ya Unga, Dawa ya Usafi, Dawa ya Kuondoa Madoa,
Shampoo Isiyo na Virutubisho, Shampoo Yenye Virutubisho, Mishumaa, Chaki, Keki,
Chilly Sauce, Tomato Sauce, Wine ya Ndizi, Wine ya Mananasi, Wine ya Maganda ya
Mananasi, Crips za Ndizi, Crips za Viazi, Siagi ya Karanga (Pinat Bata) na jinsi ya kupata malighafi kwa gharama
nafuu.
NJOO UJIFUNZE UFUGAJI WA
KISASA WA:
Kuku, Ng’ombe bora wa maziwa,
na Utengenezaji wa vyakula bora vya mifugo.
ADA KWA
SIKU ZOTE TATU UTALIPIA SHILINGI ELFU SABA TU
(TSH: 7,000)
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA
NASI: 0768 341 309, 0683 200 691, 0719 959 908.
WAHI KUJIANDIKISHA
KUWAHI KWAKO NDIO KUTAJIRIKA KWAKO
Usithubutu
kukosa kwani huu ndio mwanzo wa mazuri yaliyo mbele yako.
NJOO!
NJOO! NJOO!
“Tutajirike
Sote”
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment