MSANII
huyu mkazi wa lindi chipukizi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya
kwakweli sura yake ni ngeni machoni mwa watu ila sauti yake imevuma sana
masikioni mwa watu kupitia kibao chake cha my number one Rimix.
MAHOJIANO
Hivi karibuni akizungumza na masainyotambofu.com alifunguka
kama ifuatavyo: Kaka mimi sina Bifu na Diamond Platnumz na wala
sijawahi kukutana nae kwa kifupi hatufahamiani, Rimix ya My Number One
nilioimba mimi ina maneno flani ambayo mtu akisikiliza kwa haraka
anaweza kuhisi labda mimi namchukia Diamond lakini la hasha, Kila
nilichokiimba humo nilikisikia kwenye baadhi ya Intervew alizofanya
Daina na Babalevo kuhusu kudhulumiwa wimbo na
Diamond, Mimi kama msanii nikaumiza kichwa nikatengeneza mashairi nikaingia Studio nikafanya yangu.
KUSUDIO
Cha
kushangaza mimi nilifanya ngoma hio kama masira na sikuipeleka kwe
media yeyote niliwarushia washkaji kwenye simu tu lakini kwa mda mchache
ilisambaa kila kona..! Matokeo yake nikajikuta sauti yangu inavuma
lakini sitambuliki kama mimi ndio niliomba wimbo huo, Nikaamua kutoka
nyumbani lindi kuja Dar Es Salaam
kuhangaikia Video maana kuna baadhi ya watu wamediriki hata kuufanyia
shuting wimbo huo hatimaye kufanya Show kama wamiliki wa wimbo huo, Kosa
langu kutokufanya Video mapema. Wimbo My Number One Rimix nimerecodia BM RECORD'S Mbagala Kizuiani Jijini Dar Es Salaam. Alisema 'Balo Balo'
Bazil Augustino 'Balo Balo'
KAMA ULIKUWA BADO HAUJAJIUNGA NAMI MOJA KWA MOJA ONLINE KWA MAPICHA ZAIDI
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment