
Ni ajali ya kipee kabisa, Chanzo cha habari kikiieleza Website hii kwamba gari la Hassani Trans linalo toka Moshi kwenda mererani limegonga ng,ombe wanne na kuwauwa wote papohapo.
Ila
hakuna abiria aliyeumia wala kufariki dunia cha ajabu ni mifugo hao 4
hamna alie toa damu hata mmoja hilo limeleta gumuzo katika eneo la
tukio,
KIA njia panda ya uwanja wa Kilimanjaro International Airpot KIA wabaki na alama ya kuuliza (?)Imeripotiwa na Afande wa Ust taifa (Dj Tindo) Kutoka kia.Written By Masai

Du!
![]() |

Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment