Home
»
ENTERTAINMENT
» JIPATIE MCHUMBA AU RAFIKI KUTOKA HAPA LEO BOFYA UWASOME.......
 |
|
- Safu yetu ya wachumba leo tena iko hewani na tunao hawa hapa waliotuma maombi yao .Tunaomba samahani kutukuwepo jana hewani kutokana na matatizo ya kiufundi. Wasome hawa hapaa
- Naitwa Veronica naishi Geita natafuta marafiki wa kuchati nao jinsia zote umri wangu miaka 18 mawasiliano yangu 0758234917
- Ninaitwa Paskali Miringo nina umri wa miaka 23 natafuta mchumba wa miaka 20 sichagui mweupe ata mweusi nipigie 0779583408 nipo Dar Kariakoo.
- Mimi naitwa Jafari 20 natafuta mchumba wa kike wa miaka 20 na kuendelea mawasiliano 0753951649
- Natafuta marafiki wa kuchati nao jinsia yoyote nipo Dar nitafute kupitia 0655737360
- Natafuta mchumba no 0755969912
- Naitwa Rajabu umri wangu ni miaka 20 niko Singida natafuta rafiki wa kuchati nae awe na miaka 18 hadi 20 mawasiliano 0769317249
- Naitwa Juliasi wa Tanga natafuta mchumba mwenye mapenzi ya dhati umri kuanzia miaka 18 hadi 22 mawasiliano 0716514657
- Naitwa Babuu wa Tanga natafuta msichana mzuri kutoka Tanga awe chini ya miaka 20 mawasiliano 0759728684
- Naitwa Maiko wa Mgeta kwasasa nipo Kalatu natafuta mchumba mwenye tabia nzuri namba 0762526128
- Natafuta mchumba umri 18-21 miaka yangu ni miaka 23 nipo Dar namba zangu 0756805213
- Natafuta marafiki wa kike urafiki baadae mambo mengine sifa mnene kiasi mpole mpenda amani mawasiliano 0683421293
- Naitwa Boaz natafuta rafiki wa kike sifa yangu 1- mimi ni mwanaume mtanashati 2-ni mnene kiasi pia mweupe kiasi 3-kazi nimejiajili mwenyewe mimi ni fundi fenicha aina zote hivyo sina wasiwasi kuhusu maisha . Sifa zake awe mnene kiasi asiwe mweusi asiwe mwislamu asiwe nje ya Tz elimu yake ya kwaida. Mawasiliano 0683421293
- Natafuta mchumba wa kike awe mcha mungu ambaye yupo tayali mwasiliano 0755969912
- hi !naitwa Fabiani Mwambati nipo Mwanza natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 - 24 nambayangu ya simu ni 0767674531
- Mambo mi naitwa Giveness nina miaka 23 naishi Dar natafuta mchumba anayeishi Dar , na pia awe na sifa zifuatazo mweupe au maji ya kunde ,awe na umri wa kuanzia miaka 25 - 28 ,awe mrefu pia mwembamba awe handsome anayevutia na pia awe na nia ya kweli ya kunioa, baada tu ya kufahamiana, awe mpole na pia awe tayari kupima HIV, napia kubwa zaidi ya yote asiwe na mtoto napia , awe na kazi alie tayari anitext kupitia namba hii 0773-612685
- Natafuta mchumba msichana mwenye ugonjwa wa kupenda kama mimi na aliye wahi kuumizwa kwenye mapenzi majimama rukha wawe na mapenzi ya kweli namba zangu 0719069517
- Natwa Suzie nipo Dar natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo c vingenevyo jinsi zote miaka 22 - 25 alie tayari 0687790978
- Naitwa Abuu mzaliwa wa Tanga kwa sasa naishi Dar Magomeni kazi yangu fundi magari umri wangu ni miaka 20 natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 - 20 elimu yeyote awe kabila lolote mawasiliano 075111827
- Naitwa Stan nina miaka 25 nipo Njombe natafuta mchumba mwenye sifa hizi hapa mstaarabu , msafi , mtafutaji na awe mkiristo no 0768961972
- Naitwa Mariki wa Dar natafuta marafiki wa kike no 0719815682
- Naitwa Hansi nipo Zanzibar natafuta mchumba ambaye yupo serious, umri kuazia miaka 20-24 aliye tayali anitafute kwenye namba 0717425942
- Naitwa Sure naishe Moro natafuta mchumba namba zangu 0652201711
- Habari zenu wadau naitwa Asnath Lyimo natafuta marafiki wa kuchati nao umri wangu ni miaka 26. Mawasiliano 0755177380
- Naitwa Everest natafuta marafiki wa kuchati na kubadilishana mawazo mawasiliano 0767711715
- Naitwa Muddy naishi Zanzibar ila kwa sasa nipo Dar natafuta mchumba ambae baadae atakuwa mke , sifa zake awe muislamu miaka isyozidi 25 aliye tayali mawasiliano yangu ni 0717625112 au 0777048559
- Naitwa Khalfani saidi umri miaka 30 natafuta marafiki wa kuchati nao rika lolote na jinsia yoyote mawasiliano 0784804588
- Naitwa Stanlaus Paulo mika 24 naishi Tabora natafuta mchumba mkiristo sura nzuri asiwe mwembamba sana umri kuanzia 20 - 22 awasiliane nami 0768376350
- Habari mi naitwa Hamiss nina miaka 23 elimu yangu ni ya chuo natafuta mchumba awe mweupe mwenye miaka 18 - 20 namba yangu 0752989174usibip
- Naitwa Hamfrey natafuta mchumba ambaye bado yupo bikra au ambaye hajawai kuishi na mwanaume wala kuzaa mawasiliano 0716426306
- Natafuta mchumba wa kike umri 20 - 25 mimi naishi dar dini muislamu aliye tayari tuwasilane 0786612377 au 0652 784861
- Natafuta mafiki wa kike nipo Chimala Mbeya aliye tayari mwasiliano 0769829052
- Kwa jina Getu natafuta marafiki wa kuchati nao number zangu 0766696137
- Ramadhan ndo jina langu mimi nipo Dar natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao wenye miaka 18 kwa wale walio tayali wanitafute kwa namba hii 0718 711924 au 0754672478 masaa 24.
- Habari wa Tanzania wenzangu mimi naitwa Charles miaka yangu 31 naishi Dar natafuta mchumba wa kuoa sibagui dini ila umri kuanzia 26 - 34 aliye tayari no 0653425470
- Naitwa Frank miaka 24 nipo Dar chuo kikuu kimoja nasoma mwaka wa mwisho , natafuta rafiki wa kuchati nao na mungu akijalia nipate mmoja wa kumuandaa kuwa mchumba wangu na mke after few years napatikana kwa namba 0715 040908 anza na text tu!
- Natafuta mchumba wa miaka 18 mimi nina miaka 20 naitwa Paulo Msalu Simiyu mawasilano 0688638978
- Natafuta marafiki no 0688865943
- Mimi naitwa Eliud Mboya nipo Dar natafuta rafki wa jinsia yoyote ila asiwe mlevi si mind , awe mchamungu dini sibagui no 0785 863211 piga au tuma sms usibip
- Aje naitwa Jumanne nipo Dar natafuta mchumba mwenye miaka 18 namba yangu 0712 309461 .
- Jofrey wa Mwanza natafuta mke wa kuoa aliye tayali miaka 18 no 0762 463614
- Naitwa Fadhili a.k.a Amos nina miaka 22 niko Dar, natafuta mchumba wa kike kati ya miaka 18 -25 , awempole , mtulivu , mwaminifu, mwenye tabia nzuri na awe mcha mungu na mwenye ukweli moyoni mwake. Sifa zangu mi mpole , mkimya na mtumishi wa mungu. Call0719839650 au 0685493356
- Mimi naitwa John Philemon , nipo Rukwa elimu yangu ni kidato cha nne natafuta mchumba wa kuoa,mwenye umri wa miaka 26 awe hajazaa na kama kazaa awe na mtoto mmoja ,pia awe mkiristo kama mimi no 0766 391473 au 0789 555670
- Naitwa Saidi umri wangu 25 natafuta mchumba kuanzia miaka 35 - 40 aliye tayari anitafute kwa 0718276117 sibagui.
- Naitwa Chriss Hezeron naishi Msata Bagamoyo natafuta mchumba awe na miaka 18 - 20 namba yangu 0712093836
- Naitwa Ken natafuta mpenzi ambae atakuwa mke, awe mrefu , mweupe awe na elimu ya chuo , mimi ni muhitimu wa chuo na ni mwajiriwa wa serikalini . kwa aliye serious anitext au anibip 0762848600
-
KAMA ULIKUWA BADO HAUJAJIUNGA NAMI MOJA KWA MOJA ONLINE KWA MAPICHA ZAIDI
Pia endelea kututumia sms yako kupitia degeshaban@yahoo.com huduma hii ni ya bure .
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment