0
LULU
Ninakutakia kila la kheri ila kuwa muangalifu na wanaume maana kuna wa aina mbili masikini na matajiri, wale masikini watakupenda kwa dhati wakiwa hawana ila siku wakipata utawajua wao nani, ama uongo wadau?

na wale matajiri watajua umependea pesa zao na hata kama umempenda kwa dhati mambo ya manyanyaso na nk yatahusika, esp matajiri watakuhonga kila kitu make sure hata akikununulia kijiko kiwe katika jina lako Elizabeth Michael.
All the best maana sasa umekuwa yaliyopi
ta si ndwele tugange yajayo, one more thing, mfiche mtarajiwa wako we anza kumtangaza anaitwa J haaa kuna makubimbiri yanan’gaa macho kazi yao kusubiri kutongozwa halafu yalivyokuwa mahayawani yenyewe yanakuja kwa nia moja tu ya kuharibu na kusepa so TAKE CARE…….

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X