Wimbo huu wenye lengo kuu la kupiga vita Drug Abuse Tanzania utahusisha na kuwa na sauti kumi tofauti za wasanii wa hapa Bongo.
Mpaka sasa wasanii wengine wanaingiza vipande vyao kwenye wimbo huo na kila msanii ana bar nne kwenye wimbo huo so utakuwa na kama dakika 5 na wote watatosha.
Yote Tisa Tayari mdogo wake Diamond ajulikanae kama Dogo S.Kide mtoto wa mama shamte ana wimbo wake uitwao kitale inayousu madawa ya kulevya na kasema ni agizo toka ikulu kwa babu kikwete.Isikilize hapa Chini ni balaa tupu na kama ujumbe imefika.
Sasa nani zaidi?SIKILIZA KWANZA HAPA CHINI!!

Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment