Kuna beef la chini chini kati ya
Pancho na Nay wa Mitego baada ya Nay kudai kuwa Pancho ni
SHOGA...!!
Madai ya ushoga yameibuka baada
Linah kuweka picha akiwa na Pancho studio.Katika picha hiyo,
Pancho anaonekana katoboa JICHO mithili ya BINTI MREMBO
anayesaka mwanaume wa kumwondolea "mawazo"....
Baadhi ya mashabiki wamemuunga
mkono Nay na kudai kuwa huo ndo mwanzo wa ushoga kwa watoto
wa kiume.
Baadhi yao wamempinga nay na kudai
kuwa hayo ni maamuzi ya mtu.Kama vipi nayeye "atoboe makalio yake"
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment