Home
»
KITAIFA
» Wanajeshi wa Nigeria watembelea wizara ya habari leo

Wanajeshi
22 kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha nchini Nigeria wakiwa katika
picha ya pamoja na wafanyakazi wa wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo wakati walipoitembelea wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Wanajeshi hao kutoka chuo cha Ukamanda na Unadhimu wako nchini kwa
ziara ya mafunzo ya siku tano. Chanzo: Anna Nkinda, Maelezo
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment