Mkurugenzi wa Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Prof JOHN NKOMA mapema leo asubuhi akitoa tamko juu ya usajili wa namba za simu za mkononi.
Mkurugenzi wa Vodacom RENE MEZA akisisitiza umuhumu wa kusajili namba za simu za mkononi.
Mkurugenzi wa Airtel SUNIL CALASO akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari juu ya tamko la usajili wa namba za simu za mkononi.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment