Mwanamuziki
aliyeitikisa vilivyo Kenya kabla ya kuokoka na kuachana na muziki wa
kidunia, mwanadada Size 8 sasa ameanza
kufunguka katika interview kwenye vituo mbali mbali vya redio na Tv kuhusiana na maisha mapya ya kidini.
Kati ya mambo yote ambayo Size 8
amekuwa akiyaongelea, ni moja tu ambalo amekuwa akilitilia mkazo kwa
kumaanisha kuwa linamsikitisha zaidi .....Jambo hilo ni lile la kupoteza
BIKRA YAKE.....
Size 8
ameziambia media kuwa "Najutia sana kupoteza
bikra yangu. Ninaamini
kuwa kijana anatakiwa kujilinda na kujizuia kufanya ngono katika ujana
wake wote mpaka atakapo pata kibali toka kwa Mungu."
Related Posts
Nimekusogezea na hizi nyumba 10 kali zilizojengwa ndani ya maji mtu wangu…(Pichaz)
Kati ya vitu ambavyo huwa vinanivutia nia aina [...]
Sep 08, 201550 Cent kwenye headlines, atangaza kuisha kwa nyumba yake iliyopo Africa!
50 Cent siku zote ni mtu wa m[...]
Sep 08, 2015NEWS: DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO YA MSANII BORA ZAIDI AFRIKA
Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz.MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond[...]
Sep 06, 2015Daktari: Diamond atafia studio
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiuchapa usingizi studio. Musa Mateja na Gabriel [...]
Aug 31, 2015Hapa ninzao picha za mastaa kwenye red carpet ya tuzo za MTV Video Music Awards (VMA’s).
Stori kubwa kwenye headlines za burudani nch[...]
Aug 31, 2015Nimekusogezea Pichaz za watoto wa mastaaa wenye ushawishi zaidi..Pichaz
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na [...]
Aug 31, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.