0

MAMBO YALIKUWA HIVI..........

Msanii mkali diamondi jana alifanya show ya ukweli mjini Kahama na kwenye ukumbi maarufu wa MASABO . Kiukweli wakazi wa Kahama  siku ya jana awataisahau kabisa.Leo wasafi wanaendeleza tour yao ndani ya Geita ndani ya AMBASSADO CLUB .
WASAFIIIIIIIIII
HAPA NDIO KAZI ILIPOAZIA
Minataka kesho.......
Siwasikiii watu wangu wa KAHAMA.............




Kama kawaida yake hakuwatenga

PIGA KELELEEEEE







KIZAI ZAI 
















KAHAMA....Tuendele Ama Tusiendeleeeeeee.........????




mzuka ulikolea zaidi shati likawekwa pembeni

Tumeelewana Kahama






mi nataka kulewa lewaaaaaaaaa





MAKAMUZI MWANZO MWISHO




MWISHO WA SIKU NDIO KAMA HIVYO

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X