Home
»
ENTERTAINMENT
» DIAMOND ASEMA "MI NAJITUMA KWA BIDII..Q-CHIEF ANAKAA NA KUVUTA BANGI HALAFU ANADAI NATUMIA NYOTA YAKE....NAOMBA ANIKOME"...
Hii ni kauli ya msanii Diamond kuhusu Q chief: mi nafanya
kazi, mazoezi na dancers, nahangaika kutafuta sare,
kuandika nyimbo nzuri, wakati nafanya yote hayo we unakula unga, halafu
unakuja kusema nasafiria nyota yako, nisafirie nyota ya mla unga? mi
staki, staki, agombane na wakubwa wenzake kina dully mi aniache na
wadogo wenzangu staki...?
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment