0
Pichani juu mawe yaliyowekwa na vijana yakiwa yamezuia barabara kuu iendayo nchini Zambia.
Baadhi ya vijana wakiwa katika kituo cha kuuzia mafuta cha Oryx kusubiri huduma.
KUTOKANA NA UPUNGUFU PAMOJA NA ONGEZEKO LA BEI ZA MAFUTA JIJINI MBEYA, LEO VIJANA WALIFUNGA BARABARA KUU IENDAYO ZAMBIA ENEO LA MAMA JOHN KWA MUDA WA SAA MOJA KABLA YA WANAUSALAMA KUWASILI ENEO HILO NA KUONDOA VIKWAZO VILIVYOKUWA BARABARANI HAPO.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X