0
.
.
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Joh Makini na G Nako ambao wapo Afrika Kusini Johannesburg kwenye maandalizi ya video zao.
Joh Makini akiamplify kwenye AMPLIFAYA ya Clouds FM Agosti 25 alithibitisha  kufanyika kwa video 3 ikiwemo yake na rapper A.K.A wa South Africa.
‘Kila kitu kimeenda sawa, kila kitu kimeenda jinsi tulivyopanga namshukuru Mungu kwa maana yeye ndio amefanikisha sisi tuweze kufanikiwa ku shoot video za single zenu kwa takribani siku tatu  ukichukulia kama wiki tuko huku Johannesburg na tayari tumeshafanya video tatu   kwa hiyo watu wakae tayari kwa ujio wa G Nako na Joh Makini’ – Joh Makini
.
.
Kuna video ambayo mimi na rapper AKA wa South Africa halafu kuna video ya  G Nako pekee yake ambayo inaitwa Original na kuna video nyingine ambayo mimi nimeshirikishwa na binti mmoja mwimbaji kutokea Tanzania ambaye naye anakuja kwa hiyo vitu vingi vikubwa vinakuja kama nilivyokuambia tupo katika vibe ya kimataifa zaidi na tunamshukuru Mwenyezi Mungu kila kitu kinaenda sawa dua zetu muhimu katika kuipeperusha Bendera ya Tanzania’ – Joh Makini.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X