0
Mwanamitindo wa Ghana anaetajwa kuwa Kim Kardashian wa Afrika kutokana kutokana na mambo yake, Nish Kards aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Davido, ameongea kupitia picha alizopost Instagram kuwa yeye na Davido ni wapenzi tena.
Mrembo huyo ambaye alikuwa na muda mrefu hajapost picha inayohusu uhusiano huo, ameshare picha inayomuonesha Davido akimbusu, na nyingine wakiwa wameshikana mikono wakitembea na kuandika kuwa yeye ndiye dawa yake inayomtuliza maumivu.
Ujumbe mwingine unamtaja Davido kama ‘Master Key yake’.

“He like a Drug he relieves my pain.” Ameandika Nish.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X