Kijana
mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25-30 ameuawa kwa kupigwa
mawe kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya
kukamatwa na pikipiki ya wizi Katika kijiji cha kagongwa Wilayani
Kahama mkoani Shinyanga.
Home
»
ENTERTAINMENT
»
KITAIFA
» KIJANA AUAWA KWA MAWE NA KISHA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUIBA PIKIPIKI WILAYANI KAHAMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment