Utafiti huo uliotokana na kuhoji watu 1848 kutoka mikoa tofauti ya Tanzania bara, inasema iliwauliza wananchi hao: Ukimwacha Rais Kikwete, iwapo uchaguzi wa urais ungefanyika leo, ungemchagua nani?
...Majibu ya swali hilo TWAWEZA wanasema limejibiwa na wananchi hao kama ifuatavyo
Magufuli 65 %
Lowassa 25%
Mwingine 3%
Sijui/kataa jibu 7%
Akitangaza utafiti huo leo, Mkurugenzi mtendaji wa TWAWEZA, Aidan Eiyakuze amesema kwa upande wa ubunge, Utafiti huo unaonyesha kuwa CCM inaongeza kwa asilimia 60 na kufuatiwa na CHADEMA asilimia 26.








The lucky club Casino Site
ReplyDeleteWe've put a lot of hard work into finding luckyclub.live a casino that's the safest place to play and can give you the best possible gaming experience. And with Rating: 4.9 · 46 votes