Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amelazimika kusitisha bata
alizokuwa akila nchini Marekani baada ya kupata msiba wa mdogo wake
aliyefariki dunia juzikati.Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel akiwa
mamtoni. Chanzo chetu makini kilieleza kuwa, Aunt alipata taarifa za
mdogo wake huyo (si wa damu)aliyekuwa akiishi naye aitwaye Ziada kufariki dunia akiwa mamtoni hivyo ikamlazimu kurudi Bongo ili kushiriki kwenye mazishi
Home
»
ENTERTAINMENT
» MASKINI AUNT EZEKIEL, MSIBA WA GHAFLA WAZIMA BATA BATANI ZAKE NCHINI MAREKANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment