
Said Fella akikabidhi msaada kwa wahusika wa hospitali hiyo.
Chege,
Temba, Aslay pamoja na kundi zima la Mkubwa na Wanawe Jumatano hii
walitembelea katika wodi ya watoto ya hospitali ya Temeke jijini Dar es
Salaam na kutoa misaada mbalimbali.
Akizungumza
na waandishi wa habari Said Fela alisema wanajisikia vizuri kutoa
msaada kama huo kwakuwa na wao ni wagonjwa wa baadaye.“Tumeamua kuanza
na watoto maana mimi ni mzazi na hata mke wangu anajifunguliaga hapa pia
mimi nilikuwa mtoto na katika show yetu pengine wazazi waliopo hapa
walipenda kufika lakini kutokana na kuuguza wakashindwa kufika. Na hii
hatutofanya wilaya hii tu tukipata kingine kidogo basi tutapeleka na
kwingine na hii isiwe sisi tumefunga milango wajitokeze na wengine
kusaidia,” alisema.
Temba akiwa wodi ya watoto
Aslay akiwa na wenzake
Chege

Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment