WATU
nane, wengi wao wakiwa ni wa asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa
vibaya kwa bomu lililotupwa kwenye mgahawa uliopo eneo la Gymkhana
jijini Arusha usiku wa kuamkia leo.
Jeshi la Wananchi likishirikiana na
Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.
Hali ya wasiwasi imetanda mapema leo katika mji wa Arusha baada ya watu wanane kujeruhiwa, mmoja vibaya sana, kwenye mlipuko wa bomu uliotokea jana usiku katika mkahawa mmoja mjini humo.
Afisa wa polisi Issaya Mngulu amethibitisha kuhusu kujeruhiwa kwa watu hao wanane lakini hakuna aliyekufa katika mlipuko huo.
Mngulu pia amesema hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na hujuma hiyo
Hali ya wasiwasi imetanda mapema leo katika mji wa Arusha baada ya watu wanane kujeruhiwa, mmoja vibaya sana, kwenye mlipuko wa bomu uliotokea jana usiku katika mkahawa mmoja mjini humo.
Afisa wa polisi Issaya Mngulu amethibitisha kuhusu kujeruhiwa kwa watu hao wanane lakini hakuna aliyekufa katika mlipuko huo.
Mngulu pia amesema hakuna kundi lolote lililodai kuhusika na hujuma hiyo


Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment