0



Wakati Diamond Platnumz akiwa Afrika Kusini Tayari kabisa  kwa tuzo za MTV MAMA Awards hapo kesho , hii leo wamepewa ka-suprise kidogo baada ya mtasha wa kizungu kukamatia gari na kuwazungusha mitaa ya Afrika Kusini. Diamond-Platnumz-na-Babutale-vibe-co-tz Pia babutale amefunguka hivi kuhusiano na
dereva huyo kupitia ukurasa wake wa instagram, “Dereva wa leo mh MTV wamenikosha baba T..” . Picha hapo chini ni babutale,meneja wa Diamond akiwa na dereva huyo…. Diamond-Platnumz-Babutale-DerevaCREDIT.VIBE TZ

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X