Home
»
ENTERTAINMENT
» HII NI KAULI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO 7 ZA KILI
Hakika
ilikuwa ni kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mwenyez mungu
ametufanyia wepesi na hatimaye kufanikisha... Nawashkuru sanasana
Mashabiki zangu wote kwakuwa nyie ndio mlionipa tuzo hizi kupitia kura zenu... Family, uongozi wangu.. bila kuvisahau vyombo vyote vya habari vilivyo fanya kazi zangu zisikike kila kona..Niwashkuru
pia wasanii wenzangu, kwakuwa naamini wote walifanya kazi nzuri na
ndiomaana wote tukawa pale ila kwakuwa mshindi ni mmoja, ikatokea kuwa
bahati yangu.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment