Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi wake.
“Nimezaa kwa sababu nilijipanga, kuhusu kuolewa ni majaaliwa awe ni huyuhuyu niliyezaa naye au mwingine,” alisema Odama huku akigoma kumtaja baba mtoto.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment