0


Kisanduku cheusi cha sauti cha ndege ya MH370 ya Malaysia Airlines iliyopotea kwa zaidi ya majuma matatu, kimeshukiwa kuwa chini ya maji, kwa sasa zoezi la kuitafuta ndege hio limehamia chini ya maji baada ya meli moja ya Uchina inayoshiriki kwenye zoezi hilo kubaini ishara ya sauti ambayo huenda ikawa imetoka kwenye kisanduku cheusi cha ndege hiyo.
Kufuatia taarifa hizo, tayari uchunguzi umeanza kuhusu eneo ambako sauti hizo zilibainika ingawa ni sehemu tofauti kabisa na ile ya awali ambayo ilionekana kwenye picha za Sattelite za nchi ya Australia na China.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X