Kisanduku
cheusi cha sauti cha ndege ya MH370 ya Malaysia Airlines iliyopotea kwa
zaidi ya majuma matatu, kimeshukiwa kuwa chini ya maji, kwa sasa zoezi
la kuitafuta ndege hio limehamia chini ya maji baada ya meli moja ya
Uchina inayoshiriki kwenye zoezi hilo kubaini ishara ya sauti ambayo
huenda ikawa imetoka kwenye kisanduku cheusi cha ndege hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment