Imeelezwa kuwa Diamond
hapindui kwa halima kimwana kutokana na ukaribu wao wa mda mrefu,
Wakati mpenzi wake Wema sepetu akiwa hapatani na kimwana kama paka na
panya, hiyo haijasababisha Diamond kuwa mbali na kimwana, kwani
ameshawahi kukiri kuwa hakuna atakayeweza kuwatenganisha na best wake
huyo wa long time.
Kama ilivyo kwa kimwana, Diamond hawezi kupindua kwa wema sepetu .wakati kimwana yupo very close na familia ya Dangote, kitendo ambacho kinamuumiza zaidi madame kwani familia ya diamond imekuwa ikimchukia madame na kumkubali zaidi penny na halima, kitendo kinachomfanya penny awe karibu na kimwana kwni anajua fika diamond hapindui
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment