0


Ushaharibu ngoma ya mwanadada snura ambayo ameiachia kupitia kipindi cha leo tena leo ilikua na bonge moja ya kampeni kwenye mitandao ya kijamii hasa kwenye mtandao wa instagram.Ushaharibu ni moja kati ya kampeni kubwa za kwenye mitandao ya kijamii kuwahi kutokea kwa mwaka 2014, na pia haikuwa na gharama kwa Snura zaidi ya kuhakikisha anakua na bundle ya internet, na aliiendesha kwa zaidi ya mwezi mmoja kwa watu kumtumia picha wakiwa wameweka ishara ya alama ya x.zaidi huyu hapa snura anafunguka kuhusu kampeni hiyo na mafanikio yake.
BOFYA UMSIKILIZE

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X