| J LOVE |
Huyu hapa ndo
director mkali anayekuja kwa kasi pande
za Lunzewe anaitwa Zabron a.k.a. J Love . Ameshafanya kazi kibao na wasanii wa Lunzewe
lakini amesema haitoshi anahitahiji kufanya kazi na masupasta kibao hivyo
anaitaji sana
kampani lenu wadau. Yeye ni director pia ni producer. Amesema ndoto yake awe
kama Man water na upande wa madirector awe kama
Nisher. Akiongea na Blog yetu amesema anaomba sana msanii yoyote ambaye yupo tayari kufanya
kazi naye ye yupo tayari. Haya mawasiliano yake 0788648294 yupo Lunzewe studio
yake inaitwa KH RECORD.Ukipiga ulizia director Zabron au J Love.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment