Bunge
nchini Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi
atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo.
Katika
marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa Alhamisi
iliyopita,ndoa zote zitatakiwa kusajiliwa na umri wa chini wa mwanamke
kuweza kuolewa umewekwa ili kuzuia ndoa za mapema za watoto, hasa
wasichana. SOMA ZAIDI
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment