Mkali wa wimbo wa uzuri wako, hivi juzi
alifunguka na kusema kuwa yeye bling bling kwake ni sehemu ya maisha
yake na sio kwamba ni blazamen na anaringa sana, mkali huyo wa mziki wa
r&b ambaye pia naafanya mziki huku akisoma huko china amefunguka
kuwa kamwe hafanyi mziki kujifurahisha , anaufanya kama sehemu ya kazi
yake japo yuko busy na kitabu,
pia alipoulizwa msanii gani anamkubali hakusita kumtaja belle 9, steve R&B, na Ben pol
pia alipoulizwa msanii gani anamkubali hakusita kumtaja belle 9, steve R&B, na Ben pol
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment