0
JUX

Mkali wa wimbo wa uzuri wako, hivi juzi alifunguka na kusema kuwa yeye bling bling kwake ni sehemu ya maisha yake na sio kwamba ni blazamen na anaringa sana, mkali huyo wa mziki wa r&b ambaye pia naafanya mziki huku akisoma huko china amefunguka kuwa kamwe hafanyi mziki kujifurahisha , anaufanya kama sehemu ya kazi yake japo yuko busy na kitabu, 
  pia alipoulizwa msanii gani anamkubali hakusita kumtaja belle 9, steve R&B, na Ben pol

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X