Home
»
ENTERTAINMENT
» HAYA NDO ALIYOSEMA MSANII CHIEF MAKER KATIKA BITHDAY YAKE LEO MSOME HAPA.......
 |
- Msanii mkali toka pande za Musoma Chief maker amesema ana enjoy sana siku ya leo kwa kutimiza miaka kazaa , Na anawashukulu mashabiki zake wanaondelea kumpa sapot toka safari yake ilipoanza mpaka sasa alipofika. Pia ameitonya Shebby D blog kuwa kuna kitu kipya kinakuja kikali zaidi kinaitwa SIPENDI UMAARUFU amelekodia kwenye studio yake itwaayo Chief Record kaeni mkao wa kula soon kitakuwa hewani.Shebby D blog tunapenda kumtakia heli na baraka azidi kusonga mbele asirudi nyuma kamwe big up kwako.FUNGUA HAPA UMSOME KUPITIA FACEBOOK
|
|
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment