BIBI KIZEE ANAYEKADIRIWA KUWA NA UMRI WA MIAKA 70 AMBAYE JINA LAKE
HALIKUWEZA KUPATIKA MARA MOJA AKIWA AMEPAKIWA KWENYE GARI BAADA YA
KUKAMATWA AKIWA UCHI WA MNYAMA CHUMBANI KWA MTU HUKO BUKOBA
BIBI KIZEE HUYO AKIINGIZWA KWENYE GARI ILI KUONDOLEEWA ENEO LA TUKIO.
POLISI WAKIONDOKA ENEO LA TUKIO WAKIWA NA SHUHUDA MMOJA ALIYEDAI KUWA ALIKUWA MIONGONI MWA WALIOMKURUPUSHA BIBI HUYO CHUMBANI.
WANANCHI WA MJI WA BUKOBA WALIVYOFURIKA ENEO LA TUKIO ILI KUMTAMBUA BIBI HUYO AMBAYE ALIKAMATWA ARFAJILI.
POLISI WAKIMWINGIZA KITUONI BIBI HUYO KWA AJILI YA MAHOJIANAO NA ULINZI WAKE BINAFSI.
Mashuhuda wa mwanzo
wanasema ,Bibi huyo amekutwa akitapatapa bila kujua la kufanya huku mwili wake
ukiwa Unchi na nguo zake zikiwa pembeni kitendo kinachopelekea
kusadikiwa kwamba Bibi huyu ni mchawi wakati wengine walidai
tusubili taarifa ya Polisi na wengine wakisema uwenda kapatwa na matamanio ya
kimwili.
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment