|
- Mimi naitwa Betty kabila mchaga,umri ni 37, kazi yangu bihashara ni mama wa watoto 3 wa kike 2 mmoja wa kiume. Nahitaji mume wa umri kati ya 37 hadi 60 vigezo awe na kazi inayoeleweka asiwe mbabaishaji niko sirous kama kuna aliye na uhitaji kama wangu apige 0759422067
- Mimi kwa jina naitwa Godeni Mwelela nina miaka 35 nipo stend kuu ya Iringa.Nikopeke yangu sjaoa na sina mtoto , napatika kwa namba 0769382101
- Mambo vp naitwa swagger naishi Dar ni mfanyakazi wa tv flan nahitaji msichana wa kunipa amani faraja na mapenzi ya kweli napatikana kw number 0712 62 64 64
- Mambo nahitaji marafiki 0713 173181
- Mambo vp wadau wa ukurasa huu natwa Docta Muddy naishi Dar nahitaji mchumba wa kweli aliye tayari tuwasiliane kupitia number 0712 92 71 41
Habari wadau, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 34
nimeajiliwa katika mojawapo ya shirika la uma nchini niko mkoani mbeya,
hivi karibuni nimegundua nimeathirika na vvu maambukizi hayo nimeyapata
saluni mwezi wa 11 mwishoni nilipoenda kupata huduma ya kunyoa sio
kwamba mimi ni mzinzi, mimi ni mtu ambae ninaheshima zangu, dhumuni la
kuweka post hii nikwamba natafuta mchumba mwenye maambukizi kama nilivyo
mimi ili tufunge ndoa, sipendi kuambukiza wengine elimu yangu ni kidato
cha nne na bado nna mpango wa kuendelea zaidi na masomo, sifa za mtu
nnayemuhitaji (1)awe amepata maambukizi miezi ya karibuni (2)awe
hajaanza dozi ya arv(3)awe mwenye ajira au anayefanya shughuli yoyote ya
kipato,sifa hii siyo ya lazima hata hasiye na ajira ananafasi(4) miaka
kuanzia 29 hadi 32(5)awe na elimu yoyote (6)awe hajawahi kuzaa(7)awe
mnene wa wastani asiwe mwembamba(8)awe muumini wa zehebu lolote la
kikristo, japo kuwa mimi ni mkatoliki(9)awe tayari kuhamia na kuishi
mkoa wowote kwasababu shirika lililo niajiri mara kwa mara hufanya
huamisho kwa wafanya kazi mawasiliano namba 0654893177 mawasiliano ni
vizuri yafanyike usiku, muda wa mchana mara nyingi huwa niko ofisini
hatutaweza weza kuongea vizuri
Naitwa sam nipo dar natafuta marafik wa kike namb ya simu ni 0652333591
Natafuta rafiki wa kuchati nae ambaye ni mkenya sibagui jinsia lakini awe anajua kuongea kiswahili & intanational language yaani kingeleza mimi ni mtanzania nipo Njombe Mhaji. mawasiliano yangu ni 0758444153
Wanaotaka wachumba au marafiki tutumie kwa namba zetu 0752520417 tutakuweka hewani au tuma kupitia degeshaban@yahoo.com huduma hii ni bule hakuna malipo.
|
|
|
|
Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment