0


mara nyingi Vikwazo hukatisha Tamaa na Hata kushindwa kuendelea katika kufikia Ndoto yako uliyojiwekea katika Maisha.
Kiukweli mafanikio hayaji kwa kukaa tu bali ni kuchakalika na kujituma na Mtu mwenyemafanikio ni mengi sana amepitia mengine hata ni yakukatisha tamaa.. 
Nilipata nafasi ya kuzungumza na msanii ambaye anafanya Vizuri sana kwa sasa katika muziki wa Bongo Fleva, Nikisema utaje wasanii 3 wanao fanya Vizuri kwa sasa Bila shaka Utaanza na Jina lake.
Diamond Platnumzi nilimuuliza kuwa ni njia gani ambayo anaitumia kutatua vikwazo ambavyo hujitokeza ili kufikia ndoto zake katika Maisha... alijibu kwa maneno haya tena kwa upole kuwa "Ni kumtanguliza Mungu Mbele katika Kila jambo"
kama na wewe unandoto zako nyingi na unapata vikwazo malanyingi basi maneno haya yanaweza kukufunza kitu

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X