0

Dodoma, Tanzania. Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati akichangia  taarifa ya Kamati ya Sheria na Katiba muda mfupi uliopita  amemtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazni Zitto Kabwe kumkabidhi AG majina ya watu wote walioficha fedha Uswis ambayo alisema anayo.

 
Lema ameliambia Bunge kama Zitto na serikali wameshindwa kuwataja watu hao, wampe Lema majina hayo ili awataje.

Amefafanua kwamba hatahitaji kinga yeyote kuwataja wezi hao walioficha fedha Uswis ndani ya Bunge au nje ya Bunge.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X