"Nina Jinsia Mbili Natafuta Mwenye Jinsia Yeyote Aniliwaze".....Mdau
Dunia ina mengi....Dawa ya tatizo ni kukubaliana
nalo. Huyu ni jamaa mwenye jinsia mbili na kwa mujibu wa
maelezo yake anadai kuwa jinsia zote mbili ziko poa (Active)..
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba jamaa kakubaliana na
tatizo...Haoni kama ni shida na anaisha maisha ya kawaida
kabisa... Cha kufurahisha zaidi ni kwamba, jmaa katangaza kusaka
mchumba .
Unamwonekano wa kike au wa kiume,kama unamwonekano wa kike nitafute namba 0777181677 au email jaffarjuma724@gmail.com
ReplyDelete