:Naitwa cash natafuta rafiki wa ukweli wa kupiga story,awe anajitambua,0763577536
Natafuta mpenzi popote alipo atakaekubalikuolewa niko mombasa kenya kwamawasiliano piga 0717606309
natumaini umzima kabisa wa afya kabisa. mimi kaka natafuta watu
wakubadilishana nao mawazo wa rika zoke naomba basi udondoshe hii email
adres pale kati kwa blog yako then ntachat nao zaidi kwa facebook na
twitter na namba za simu. mimi ni dada mmoja nasoma chuo kimoja ivi MD
medical doctor watakao kua interested welcome all. <bluejm7
gmail.com="">
naitwa jose natafuta mchumba wakike sichagui namba ya cm 0764286650
natafuta mchumba awe anaishi mwanza town mkristo umri usiozidi 25 awe tiyari kupima namba yangu 0756849312
Natafuta rafiki wa karibu sifa awe mwenye AKILI 0786436056 na 0769346115 naishi Dar es salaam
Natafuta mchumba au mke kuanzia miaka 20 mnene kidogo mfupi umri wangu miaka 23 tuwasiriane kupitia 0687453480
naitwa nestory peter natafuta mchumba awe na umri kati ya miaka 18 na 20. mim nakaa tabora. awasiliane nami kwa namba 0767007330
NAITWA HALID NINA MIAKA 30 NATAFUTA MKE AWENA MIAKA 25
AU35 AWE MNENE KIASI UMBO TUWASILIANE KWA NAMBA 0716221361
Sizo 4 show natafuta mchumba wa kike umri 25 naishi dar kigogo sim0655790071
Natafuta mchumba awe mweupe pia umbo lake mwembamba awe anajua kusoma na kuandika mwaminifu 0768308527
Mimi ni kijana mvulana, wa kitanzania kutoka mkoa wa mbeya.
Nipo serious katika swala hili. Natafuta rafiki wa kike kwa urafiki utakaoishia kwenye uchumba kisha ndoa kama tukiridhiana na kukubaliana . Nahitaji mtu ambaye pia yupo serious katika swala hili vinginevyo kama haupo serious kaa pembeni maana sipendi kupotezeana muda.
WASIFU WANGU:
UMRI WANGU: miaka 28
DINI YANGU: mkristo
SINA MTOTO, SIJAWAHI KUOA.
MWONEKANO WANGU: Mimi ni mweusi kiasi, mwembamba, sio mfupi sana wala sio mrefu. Mambo mengine kuhusu mimi nitamweleza muhusika baada ya kuwasiliana.
WASIFU WA MSICHANA NINAYEMUHITAJI:
UMRI WAKE: asizidi miaka 23
DINI YAKE: mkristo
ELIMU YAKE: yoyote
KAZI YAKE: mwenye kazi au asiye na kazi.
MWONEKANO WAKE: awe na umbo la wastani (asiwe mnene sana wala mfupi sana).
MUHIMU ZAIDI: awe mweupe na awe asili yake mikoa kati ya Dar, Moro, Iringa au mbeya. Awe tayari kuishi mkoa wowote hapa Tanzania.
ASIWE NA MTOTO, NA AWE HAJAWAHI KUOLEWA AU KUISHI NA MUME.
Kwa mwenye wasifu huo niliotaja tu ndio anitafute kwa namba 0752827646 au 0713908229 au 0656380928