0




Siku ya jana tulifanya zoezi la kuwafanyia interview baadhi ya watu waliotuma maombi yao kwa mujibu wa ,tangazo la kazi nilillolitoa juzi,mwitikio wa watu ulikuwa mkubwa,watu waliotuma email zao pamoja simu,kiasi ilituwia vigumu 
kuwataka wote waje kwenye interview,ilitubidi tuchague baadhi ya watu ambao tulihisi wanaweza kukidhi sifa tulizozihitaji ingawa nao pia tulipata changamoto ya wengi wao kuja pasipo kuzingatia maelekezo na maagizo ya tangazo lilivyotaka,hivyo jana nikishilikiana na wataalamu wa hizo sekta tulisaili na mwisho wa siku tutachukua wale wenye viwango tunavyovihitaji na kuungana na team ya WCB-WASAFI,.....
Ahsanteni sana.

Post a Comment

toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment

 
Top

SOMA HABARI KEM KEM KUPITIA BLOG YAKO PENDWA YA HISIA ZA MWANANCHI HAPA

X