kuwataka
wote waje kwenye interview,ilitubidi tuchague baadhi ya watu ambao
tulihisi wanaweza kukidhi sifa tulizozihitaji ingawa nao pia tulipata
changamoto ya wengi wao kuja pasipo kuzingatia maelekezo na maagizo ya
tangazo lilivyotaka,hivyo jana nikishilikiana na wataalamu wa hizo sekta
tulisaili na mwisho wa siku tutachukua wale wenye viwango
tunavyovihitaji na kuungana na team ya WCB-WASAFI,.....
Ahsanteni sana.


Post a Comment
toa maoni yako hapa pia usisahau kuweka coment